Great thinkers hawajadili ujinga kama huu wa kwako ulioandika chooni wakati ukijisaidia haja kubwa.
Ungeuchambia na kuuacha huu ujinga huko huko chooni ulipokuwa.
Of course, hakuna atakayedai ana hisa kwenye thread ya kijinga kama kama hii.
Ichukue kabisa rudi nayo kule kule chooni ulipokuwa.
Great thinkers hawajadili ujinga kama huu wa kwako ulioandika chooni wakati ukijisaidia haja kubwa.
Ungeuchambia na kuuacha huu ujinga huko huko chooni ulipokuwa.
Of course, hakuna atakayedai ana hisa kwenye thread ya kijinga kama kama hii.
Ichukue kabisa rudi nayo kule kule chooni ulipokuwa.
daaaah!!,wasomi wetu nao wana element za udini,kitu kidogo wanakiperceive kwa imani zao,hivii ukiwa nyutro kwani unapungukiwa na nn,mbona hoja iwepo kwa mwanadada huyu tu,hata kama wakina necha ni waislam lakini waislamu wenzao c wangekemea kwa kulitumia vibaya kwenye bongofleva jina lao takatifu,tuache ujinga jamani
Kaka nimefikiria nje ya box..wewe hilo unaliona kama jina tu but wenye dini yao wanaweza kwenda mbali zaidi na kuona kama dini yao inahusishwa hapo. They can raise issues like kwanini litumike jina la kiislamu and all that. Just relax and think critically and may be u will understand what am talking about
Umefanya vizuri kuuleta huu uzi hapa ili upate michango kutoka kwa wadau mbalimbali, itabidi ukubaliane na jinsi watakavyochambua.
Binafsi nimekuelewa kwamba nia ni kuchukua tahadhari kutokana na kipindi tulichonacho au mambo yaliyotokea kuhusu mambo ya dini.
Acha porojo tunga wewe wimbo uupe jina utakalo yahaya ni jina halina uhusiano na waislamu mbona mbunge wa nzega anaitwa Hamis Andrew......Hakuna mwenye miliki ya majina kuna john/yohana wengi tu waislam wewe lukid ndio mdini mkubwa ushindwe pepo we acha kutumwa na kina Ruge mbona mtoto idd,said mnyamwezi,masoud amekuwa jambazi haukusema? Iweje ije kukuuma kwa kusema yahya ni mtu wa magumashi?
Huu waraka umeubandika kule kwenye blogu yake?
we bwabwa usijifanye unaamlisha watu pa kuweka mawazo yao...otherwise kama unatafuta walume tukupige ukuni,maana umezidi kushoboka