WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA



Huo wimbo ulishaimbwa zamani, mr.paul alifanya kuurudia tu. Hata hivyo huwezi kufananisha maudhui ya wimbo wa zuwena na huu wa yahaya, coz kwenye wimbo wa zuwena mr.paul anazungumzia namna alivyo shtushwa na taarifa za ajali ya mchumba wake aitwaye zuwena. but huu wa yahaya , jide ambaye ni mristo anazungumzia tabia mbaya zinazo fanywa na mtu ambaye ana jina la kiislamu, not the fact that wimbo umetoka katika kipindi hiki ambapo ishu ya udini Tz iko vey sensitive

i do respect you, the fact is you are my brother in Islam , anyways my case is settled ... just don't be too sensitive kwa issue zisikuwa na maana kama hizi esp. majina ... ni ushauri tu! muslims we have issues nyingi sana to worry about ...

you have good day
 
LIKUD:
Hiyo ni Parception yko tu.. Ila yawezekana mawazo yko yakaanzisha kile kilichokua hakipo... Burudan huwaleta watu weny itikad tofaut pamoja ila sasa ulichoongea ungekua ni mtu mweny influence km Lipumba au ponda (mfano) ungeiharibu nchi.

Umeona eeh
 




i do respect you, the fact is you are my brother in Islam , anyways my case is settled ... just don't be too sensitive kwa issue zisikuwa na maana kama hizi esp. majina ... ni ushauri tu! muslims we have issues nyingi sana to worry about ...

you have good day

Mimi ni mkatoliki. Am just an open minded person
 
jide ana blog yake unaonaje hii post ungemwandikia kule facebook kwene wall yake?
 
Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But kina kitu kimoja ambacho kwa maoni yangu ninaona hakipo sawa . Nacho ni kuhusu wmbo wako uitwao YAHAYA. Wimbo wako ni mzuri na unaelimisha jamii but kwa nini usingetumia jina tofauti na YAHAYA. Kwanini ninasema hivyo?

1. YAHAYA ni jina la kiislamu, na miongoni mwa majina ya kiislamu yenye maana kubwa kwa waislam.
2. Wewe ni mkristo wa madhehebu ya wasabato.
3. Hapa kwetu nchini Tanzania kuna vugu vugu la waislamu na wakristo. Waislamu wamekuwa makini sana kwa kila kitu kinacho fanywa na mtu yoyote yule mwenye jina la kikristo hususani pale maslahi ya dini ya kiislamu ama jina la kiislamu linapotajwa. Sihitaji kulizungumzia hili kwa kina kwa sababu naamini huwa unafuatilia taarifa mbalimbali za habari so am sure as hell unafahamu ni kitu gani kinaendelea kati ya wakristo na waislamu Tanzania wakati huu.

( KITU CHA MSINGI KUELEWA HAPA NI KWAMBA, KITU CHOCHOTE KILE KITAKACHO TAJWA NA MKRISTO DHIDI YA UISLAMU AMA MUISLAMU KWA NAMNA YOYOTE ILE KINAWEZA KUCHUKULIWA KAMA KASHFA DHIDI YA UISLAMU )

Hivyo basi wimbo wako wa YAHAYA ingawa una ujumbe mzuri, but unaweza kukuletea matatizo na waislamu wa Tanzania ambao wanaweza kuuchukulia kama kashfa dhidi yao. Maadui zako wanaweza kuitumia hiyo kama loop hole na ku dress beef lenu kulifanya lionekane kama beef kati yako waislamu.

MAPENDEKEZO: Nikiwa kama shabiki wako, ninakushauri ubadilishe haraka iwezekanavyo jina la wimbo YAHAYA na kutafuta jina lingine lolote lile. Katika kutafuta jina nakushauri utafute jina ambalo halihusiani na jina la dini yoyote kati ya ukristo na uislamu. Unaweza kutumia majina yanayo tumiwa na watu wa dini zote kama vile MAWAZO.
Ukibadilisha jina la wimbo wako, utajijengea heshima kubwa sana kwa mashabiki wako ambao ni waislamu na watachukulia hiyo kama heshima kwao.
Sina mengi ya kuongea zaidi ya hayo. Natumaini umenielewa.

NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 13 YA LADYJAYDEE.

guaranteeing employee time off to pray,rules mandating thy following of strict family laws of marriage,divorce and inberitence,the restriction of millitary and political offices to muslims,thy use of islamicate language and arabic script as well as a financial support for mosques and islamic schools.,islamic solidarity.islam is a lifestyle.
 
guaranteeing employee time off to pray,rules mandating thy following of strict family laws of marriage,divorce and inberitence,the restriction of millitary and political offices to muslims,thy use of islamicate language and arabic script as well as a financial support for mosques and islamic schools.,islamic solidarity.islam is a lifestyle.

Sijakusoma hapo mtu mzima
 
Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But kina kitu kimoja ambacho kwa maoni yangu ninaona hakipo sawa . Nacho ni kuhusu wmbo wako uitwao YAHAYA. Wimbo wako ni mzuri na unaelimisha jamii but kwa nini usingetumia jina tofauti na YAHAYA. Kwanini ninasema hivyo?

1. YAHAYA ni jina la kiislamu, na miongoni mwa majina ya kiislamu yenye maana kubwa kwa waislam.
2. Wewe ni mkristo wa madhehebu ya wasabato.
3. Hapa kwetu nchini Tanzania kuna vugu vugu la waislamu na wakristo. Waislamu wamekuwa makini sana kwa kila kitu kinacho fanywa na mtu yoyote yule mwenye jina la kikristo hususani pale maslahi ya dini ya kiislamu ama jina la kiislamu linapotajwa. Sihitaji kulizungumzia hili kwa kina kwa sababu naamini huwa unafuatilia taarifa mbalimbali za habari so am sure as hell unafahamu ni kitu gani kinaendelea kati ya wakristo na waislamu Tanzania wakati huu.

( KITU CHA MSINGI KUELEWA HAPA NI KWAMBA, KITU CHOCHOTE KILE KITAKACHO TAJWA NA MKRISTO DHIDI YA UISLAMU AMA MUISLAMU KWA NAMNA YOYOTE ILE KINAWEZA KUCHUKULIWA KAMA KASHFA DHIDI YA UISLAMU )

Hivyo basi wimbo wako wa YAHAYA ingawa una ujumbe mzuri, but unaweza kukuletea matatizo na waislamu wa Tanzania ambao wanaweza kuuchukulia kama kashfa dhidi yao. Maadui zako wanaweza kuitumia hiyo kama loop hole na ku dress beef lenu kulifanya lionekane kama beef kati yako waislamu.

MAPENDEKEZO: Nikiwa kama shabiki wako, ninakushauri ubadilishe haraka iwezekanavyo jina la wimbo YAHAYA na kutafuta jina lingine lolote lile. Katika kutafuta jina nakushauri utafute jina ambalo halihusiani na jina la dini yoyote kati ya ukristo na uislamu. Unaweza kutumia majina yanayo tumiwa na watu wa dini zote kama vile MAWAZO.
Ukibadilisha jina la wimbo wako, utajijengea heshima kubwa sana kwa mashabiki wako ambao ni waislamu na watachukulia hiyo kama heshima kwao.
Sina mengi ya kuongea zaidi ya hayo. Natumaini umenielewa.

NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 13 YA LADYJAYDEE.
-Mkuu LIKUD, ninasikitika kusema ya kuwa, katika hili huna HOJA YOYOTE YA MSINGI! Nimeenda mbali kwa kukuchukulia ya kuwa wewe ni mfitini, mchonganishi na MDINI usiyefaa kuigwa! Siku zote "mwanzo wa makubwa huwa ni madogo", umeanza na hili, kesho utatuletea la UCHINJAJI ukidai limesahaulika kwenye rasimu ya katiba! Wewe ni tatizo, jichunguze mkuu, achana na kitabia hiki kibovu cha kulia lia tu ukiamini dini fulani haitendewi haki, huu ndio uhochezi wenyewe! Naomba kuwasilisha nikiwasihi na wengine wenye tabia hii waache mara moja!-
 
Soma mashairi hapa : Lady Jay Dee: YAHAYA - LYRICS (By Lady JayDee)

Video bado haijatoka nadhani, but kama unaamini hilo halina tatizo kwa waislamu, then its okay, i w as just worried about her

Mkuu, ahsante kwa hicho kiungo! Nimesoma na kwa maoni yangu ninaona hakuna tatizo kwenye imani, jina ni kama majina mengine tuliowahi kuyasikia huko nyuma! mfano:- Masoud, Idd, Latifa, Amina nk
 
Mkuu LIKUD, ninasikitika kusema ya kuwa, katika hili huna HOJA YOYOTE YA MSINGI! Nimeenda mbali kwa kukuchukulia ya kuwa wewe ni mfitini, mchonganishi na MDINI usiyefaa kuigwa! Siku zote "mwanzo wa makubwa huwa ni madogo", umeanza na hili, kesho utatuletea la UCHINJAJI ukidai limesahaulika kwenye rasimu ya katiba! Wewe ni tatizo, jichunguze mkuu, uhana na kitabia hikikibovu cha kulia lia tu ukiamini dini fulani haitendewi haki, huu ndio uhochezi wenyewe! Naomba kuwasilisha nikiwasihina wengine wenye tabia hii waache mara moja!-

Kaka hapa kitu cha msingi ni kumshauri Ladyjaydee abadilishe jina la wimbo, hayo mengine yote ni blah blah blah tu, kwanza mimi sio muislamu
 
Mkuu, ahsante kwa hicho kiungo! Nimesoma na kwa maoni yangu ninaona hakuna tatizo kwenye imani, jina ni kama majina mengine tuliowahi kuyasikia huko nyuma! mfano:- Masoud, Idd, Latifa, Amina nk

Its okay but tuombe Mungu watu wote wawe na mtazamo kama wa kwako.
 
Mbona aliimba siwema haikua shida,tumewachoka sasa na nyie,kitimoto mle alafu jina liwe ni tatizo????

Siwema sio jina la kiislamu wewe, halafu ni wimbo uliokwisha imbwa zamani, unahusiana na masuala ya kimapenzi, but Yahaya, ni tofauti sana. Anyways,huu ni ushauri wangu tu kwake kama mshabiki wake.
 
mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But kina kitu kimoja ambacho kwa maoni yangu ninaona hakipo sawa . Nacho ni kuhusu wmbo wako uitwao yahaya. Wimbo wako ni mzuri na unaelimisha jamii but kwa nini usingetumia jina tofauti na yahaya. Kwanini ninasema hivyo?

1. Yahaya ni jina la kiislamu, na miongoni mwa majina ya kiislamu yenye maana kubwa kwa waislam.
2. Wewe ni mkristo wa madhehebu ya wasabato.
3. Hapa kwetu nchini tanzania kuna vugu vugu la waislamu na wakristo. Waislamu wamekuwa makini sana kwa kila kitu kinacho fanywa na mtu yoyote yule mwenye jina la kikristo hususani pale maslahi ya dini ya kiislamu ama jina la kiislamu linapotajwa. Sihitaji kulizungumzia hili kwa kina kwa sababu naamini huwa unafuatilia taarifa mbalimbali za habari so am sure as hell unafahamu ni kitu gani kinaendelea kati ya wakristo na waislamu tanzania wakati huu.

( kitu cha msingi kuelewa hapa ni kwamba, kitu chochote kile kitakacho tajwa na mkristo dhidi ya uislamu ama muislamu kwa namna yoyote ile kinaweza kuchukuliwa kama kashfa dhidi ya uislamu )

hivyo basi wimbo wako wa yahaya ingawa una ujumbe mzuri, but unaweza kukuletea matatizo na waislamu wa tanzania ambao wanaweza kuuchukulia kama kashfa dhidi yao. Maadui zako wanaweza kuitumia hiyo kama loop hole na ku dress beef lenu kulifanya lionekane kama beef kati yako waislamu.

Mapendekezo: Nikiwa kama shabiki wako, ninakushauri ubadilishe haraka iwezekanavyo jina la wimbo yahaya na kutafuta jina lingine lolote lile. Katika kutafuta jina nakushauri utafute jina ambalo halihusiani na jina la dini yoyote kati ya ukristo na uislamu. Unaweza kutumia majina yanayo tumiwa na watu wa dini zote kama vile mawazo.
Ukibadilisha jina la wimbo wako, utajijengea heshima kubwa sana kwa mashabiki wako ambao ni waislamu na watachukulia hiyo kama heshima kwao.
Sina mengi ya kuongea zaidi ya hayo. Natumaini umenielewa.

Nakutakia maandalizi mema ya maadhimisho ya miaka 13 ya ladyjaydee.

...acheni mambo yako ya udini,inaonekana wewe si mtanzania
 
Hajautukana uislamu, wala sidhani kama alikuwa na nia ya kuutukana uislamu but ametumia jina la kiislamu kumzungumzia mtu mwenye tabia mbaya katika jamii, kwa mtazamo naona hii inaweza kumletea matatizo na baadhi ya waislamu, so nikiwa kama shabiki wake , nimeshauri abadilishe hilo jina la wimbo atafute jina lingine ambalo halitumiwi na waislamu au wakristo. Unaweza kucheki mashairi hapa kaka:

Lady Jay Dee: YAHAYA - LYRICS (By Lady JayDee)

Tabia mbaya ipo kwa wote tu wenye dini na wasio na dini, kama Yahaya anajijuwa anatabia mbaya na yeye ndio kaimbwa basi ajirekebishe. Sina haja ya kuisikiliza hiyo nyimbo uliyoibandika, sioni sababu.

Nina marafiki wengi sana wana majina Kiislaam lakini si Waislaam na wanaingia makanisani, mmoja wapo maarufu sana Dar., tena ukimuona ni shombe kabisa, anaitwa Abdallah na yeye ni Jehovah Witness mzuri sana, watu wa Jehovah wa Dar, wajitokeze hapa na waseme.

Huyo Dada, wala si wa kumlaumu, kama hajatukana wala hajalenga kuwatukana Waislaam, sioni tatizo.

Naona kama wewe ndio unaeianzisha fitna ya kijinga.
 
Mimi sio mfuatiliaji sana wa hizi nyimbo za ubongo wa fleva,najiuliza hakun wimbo ambao mwimbaji ni mwislamu na katumia jina la kikristo katika nyimbo yake?au hapa inshu ni kwamba yahya ni jina kubwa ingekuwa juma shwari?vinginevyo mleta mada ndio unachochea udini
 
Salaam aleikum likud
Umesema wewe ni mshabike jd napia ni muisilaam

Ss nataka kukuswalika swali hili. Je ni halali au haraam kusikiliza muzik wwte

Nijibu nitaendelea kukuswalika kwa mujibu wa quraan na hadith

Wakatabahu
 
Back
Top Bottom