Waraka wa wazi kwa mwanangu Koku

Asante Baba,
Ujumbe umefika na kwa wakati muafaka,
Inshaala kwa uwezo wa mungu tutayaishi mausia haya.
 
eti eh? Muhuni huyu TF!
Mara wewe,mara SL,mara smile,sasa tumchukulie vipi?

ngoja aje

unamwogopa?

caring mhuni?sijawahi kusikia!lol!

case inamuhusu yeye. Au naweza kumjibia mashtaka?

mjibie,si mmeo mtarajiwa?

mmmhwhuut!

Asante Mzazi kwa kulitambua hilo
TF, tumeshachukua binti, anza tu kukusanya senene.

we mrembo hulali? saa saba usiku ulikuwa unafanya nini,ulikuwa unamuwaza TF au yuko mpwapwa?

acha naye huyo,nasikia kapanda shabiby anaelekea mpwapwa.
Amen Amen naona kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa
 

wosia bomba sana Baba Koku! Hasa pale pa kudai haki na kutokukubali mapenzi yasimtawale na kumuumiza! Mwambie aunt yake nipo pia kwa ushauri zaidi anipm!
 
atakuwa kapokea ujumbe kwa mikono miwili , lakini ujamwonya juu ya mafisadi viwembe, ujamuonya asiwe Muigizaji wa Bongo filamu maana maadili yao yao wanayajua BWASWATWA tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…