Kwisha habari yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute na wewe una Masitazi?Jamani wananchi, uongozi umeshasema tuiheshimu TFF na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa watulivu kwa maamuzi yoyote yanayotolewa na mamlaka hizo za juu
View attachment 2318787
Kwenye official page hakuna utumbo huo uliouandikaJamani wananchi, uongozi umeshasema tuiheshimu TFF na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa watulivu kwa maamuzi yoyote yanayotolewa na mamlaka hizo za juu
View attachment 2318787
Popoma GENTAMYCINEJamani wananchi, uongozi umeshasema tuiheshimu TFF na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa watulivu kwa maamuzi yoyote yanayotolewa na mamlaka hizo za juu
View attachment 2318787
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaaa!!!!hakuna mkate mgumu mbele ya chai bwashee
Siku zote 'you should read between the lines'....Wameanza kulegea siyo!
Sikio ni sikio tu kamwe haliwezi kuzidi kichwaJamani wananchi, uongozi umeshasema tuiheshimu TFF na Serikali, ikiwa ni pamoja na kuwa watulivu kwa maamuzi yoyote yanayotolewa na mamlaka hizo za juu
View attachment 2318787