Waraka wa Yanga ukiwasihi mashabiki wake kuiheshimu TFF na Serikali

Waraka wa Yanga ukiwasihi mashabiki wake kuiheshimu TFF na Serikali

Hakuna shabiki wa Yanga mwenye akili timamu, anaweza kuiheshimu TFF ya Wallace Karia! TFF iliyojaa double standard, na inayotumia nguvu kubwa kuwanyamazisha wale wote wenye mtazamo tofauti na huyo Karia.

Kuhusu mamlaka ya nchi, hilo halina shaka yoyote ile. Ila siyo hii TFF ya Msomali na ambaye ni kada wa ccm! Shabiki na mwanachama wa Coastal Union ya Tanga, na simba ya Dar es salaam.
Umeandika "pure" ushabiki.

Karia kuwa Simba SC ndio amuache Manara anaharibu tu?

Hii mentality ya ajabu kutumia timu anayoipenda kiongozi wa mpira kama defence kwenu pale mnapoharibu, ndio mnaonesha vile angekuwa kiongozi wa mpira ambaye ni shabiki wa Yanga yenu, mngemtumia ili awalinde wajinga wenu wa sampuli ya Manara.

Kumnyamazia Manara ni muhimu sana kwa maendeleo ya soka la nchi hii.
 
Ukute na wewe una Masitazi?
Safi sana Yanga kwa Waraka mzuri unaohimiza amani michezoni. Mlichoandika kina umuhimu mkubwa kwa mustakabali wa soka la Tanzania na wala hakuna mahali mmesema Mashabiki na wapenzi muwaogope watu au viongozi Fulani. Hata viongozi wa Simba na timu nyingine wenye akili wanahimiza ushabiki Na siyo uadui.
Kuhimiza heshima na amani mwanzo wa musimu si unyonge ni ushujaa.
Haipo hio barua hawa jamaa hua wanawashwa kama malaya
 
Sijui ni akili yangu ndogo kushindwa kuekewa. Mbona mimi nimeona kama huo waraka una lengo la kutoa utisho kwa mamlaka kuelekea maamuzi magumu dhidi ya msemaji na Rais?

Nilivyoelewa mimi nje ya boksi ni kama Yanga wanawafikirisha watoa maamuzi kwamba maamuzi yeyote hasi dhidi ya viongozi wao yanaweza kuleta vurugu na ikitokea hivyo wao wamenawa mikono.

Jaribu kuusoma huu waraka alafu jaribu kutafakari sana unaweza kukiona nachokiona.
Unaweza kuwa uko sahihi ila nadhani wameamua kurudi nyuma kutoka kwenye kuivimbia serikali.
 
Sijui ni akili yangu ndogo kushindwa kuekewa. Mbona mimi nimeona kama huo waraka una lengo la kutoa utisho kwa mamlaka kuelekea maamuzi magumu dhidi ya msemaji na Rais?

Nilivyoelewa mimi nje ya boksi ni kama Yanga wanawafikirisha watoa maamuzi kwamba maamuzi yeyote hasi dhidi ya viongozi wao yanaweza kuleta vurugu na ikitokea hivyo wao wamenawa mikono.

Jaribu kuusoma huu waraka alafu jaribu kutafakari sana unaweza kukiona nachokiona.
Hakuna kitu hapo ni jitu limeshiba maharage huko limekuja na huo upuuzi
 
Hakuna shabiki wa Yanga mwenye akili timamu, anaweza kuiheshimu TFF ya Wallace Karia! TFF iliyojaa double standard, na inayotumia nguvu kubwa kuwanyamazisha wale wote wenye mtazamo tofauti na huyo Karia.

Kuhusu mamlaka ya nchi, hilo halina shaka yoyote ile. Ila siyo hii TFF ya Msomali na ambaye ni kada wa ccm! Shabiki na mwanachama wa Coastal Union ya Tanga, na simba ya Dar es salaam.
Karia anakutesa mnooo, maskini weee hadi nakuonea huruma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], relaaaaaaaxxxx, karia bado yupo sanaaaa, km unasubiri atoke, bas utandike jamvi ukae.

Byuti byuti
 
Hakuna shabiki wa Yanga mwenye akili timamu, anaweza kuiheshimu TFF ya Wallace Karia! TFF iliyojaa double standard, na inayotumia nguvu kubwa kuwanyamazisha wale wote wenye mtazamo tofauti na huyo Karia.

Kuhusu mamlaka ya nchi, hilo halina shaka yoyote ile. Ila siyo hii TFF ya Msomali na ambaye ni kada wa ccm! Shabiki na mwanachama wa Coastal Union ya Tanga, na simba ya Dar es salaam.
Haji Manara anasema huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu
 
Haji Manara anasema huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu
Haishangazi baadhi yenu kuitwa mbumbumbu na mwenyekiti wenu wa zamani Ismail Aden Rage!

Mngekuwa siyo mbumbumbu, basi mngeyapuuza hayo maneno ya huyo mropokaji wenu wa zamani.
 
Haishangazi baadhi yenu kuitwa mbumbumbu na mwenyekiti wenu wa zamani Ismail Aden Rage!

Mngekuwa siyo mbumbumbu, basi mngeyapuuza hayo maneno ya mropokaji wenu wa zamani.
Tungeyapuuza lakini matendo na maneno yenu yanathibitisha usahihi wa kauli hizo,si unajua hata saa mbovu kuna muda inapatia majira.
 
Uongo unakusadia nini barua ya Feb 19 kipindi kile kuna vurugu za uamuzi umeileta leo ilmradi tu uongo wako upate support
Nimeongea uongo gani? Uongozi haukuandika mashabiki Yanga waziheshimu mamlaka hizo?
 
Back
Top Bottom