That is purely due to inferiority complex. Niambie shule nzuri ya kiislam inayofanya vizuri katika mitihani ya kuanzia o-level to a-level;hamna, whose problem is that? christian?
Kuna waislam ninawafahamu wanaona aibu kuitwa waislam, they mind their own business na wako mbali katika kila nyanja. waislam waliofeli maisha ndio wananyoosha kidole kwa wakristo, mbaya zaidi wakiongozwa na wasomi wa aina ya Tumain, ambao walitakiwa wawe mbele kugundua cultural and historical effects zilizofanya waislam warudi nyuma.waarabu walichukua watumwa na kuleta misikiti, wahindi walileta biashara na kujenga mashule, wamisionari walijenga shule, hospitali na makanisa na kupitia wao wakatuibia mali zetu, this is historizal facts! it was difficult kwa waliolelewa kiislam kusoma misheni!, waliosoma misheni leo ni maprofessa wazuri na still wana dini zao za kiislam!!!
karne ya sasa haimtambui mtu wa dini yoyote inatambua competence, so when some islams are busy on blaming christians , christions and some other islams are busy on building competence!
kwa hiyo unagundua kizazi hii cha kulalamika,they will be slave forever, maana survival of fittest rules haichagui dini.