Waraka wasambazwa kuitafuna CCM 2010, kanisa Katoliki laukana

Waraka wasambazwa kuitafuna CCM 2010, kanisa Katoliki laukana

...''nimesoma waraka wote na details zake ni chuki na unafiki kupita kiasi kwa nchi yetu''-Tumaini

Tumaini tunaomba huo waraka uuweke hapa mkuu, tunakuomba sana

Mbona una haraka nimekwambia sishinikizwi na mtu huelewi ndugu. ntafanya kwa wakati wangu habari ndiyo hiyo.
 
Ntafanya hivyo kwa muda wangu lakini si kwa shikizo lako ndugu..nimeweza kukubali la mambo ya dini tu kwa kuheshimu dini yako finito, hizo zingine ntaweka kwa wakati wangu..lakini huo ndio ukweli

endelea kulia kulia kutetea kanisa lako ovu shame on you.

Hivi kila mtu JF akiwa anabania 'information' kama wewe ingekuwaje.

Naomba uweke basi weekend hii, nilisema kama hutaweza mtumie invisible atuwekee hapa, Hili sio shinikizo ni ombi

uISLAMU NI mZIGO MZITO SANA,.

Kindly, leave islam away from this this is between Tumaini and us, we need that document.

Tumaini we need that document!
 
nimeedit hayo maneno , and i leave as u kindly requeted me to do so.

Hata kama uki edit maneno, tunajua unayoyafikiri kuhusu waislamu ambayo unaongea chumbani ni makubwa zaidi??

Lakini Jinyonge wewe huwezi kufanya chochote uislamu na waislamu "empire" nyingi sana tangu zamani zilitamani kuumaliza uislamu ..wakashindwa, watashindwa na wewe utakufa na chuki zako uislamu una meremeta zaidi.
 
Hata kama uki edit maneno, tunajua unayoyafikiri kuhusu waislamu ambayo unaongea chumbani ni makubwa zaidi??

Lakini Jinyonge wewe huwezi kufanya chochote uislamu na waislamu "empire" nyingi sana tangu zamani zilitamani kuumaliza uislamu ..wakashindwa, watashindwa na wewe utakufa na chuki zako uislamu una meremeta zaidi.

Say what you wish to say, at the end of this thread we need that document....
 
Chaguo la watanzania wengi kwako ww jipe moyo tu na kumfurahisha JK.hana lolote nchi uozo tu amumie sana shehe yahaya maana ndo nyau wake aachane NA wakatoliki wa watu.hata ww upo kwenye system ndiyo maana unakukuruka tu NA JK.
 
Chaguo la watanzania wengi kwako ww jipe moyo tu na kumfurahisha JK.hana lolote nchi uozo tu amumie sana shehe yahaya maana ndo nyau wake aachane NA wakatoliki wa watu.hata ww upo kwenye system ndiyo maana unakukuruka tu NA JK.

Hao hawana lolote pesa kidogo kwa "Pengo" kwisha habari anatangaza kwamba JK chaguo la Mungu ..subiri uchaguzi utasikia kauli zake...na wanakondoo wanafuata kauli yake kama kawaida 80% ushindi..mtalia lia mwaka huu..
 
Hao hawana lolote pesa kidogo kwa "Pengo" kwisha habari anatangaza kwamba JK chaguo la Mungu ..subiri uchaguzi utasikia kauli zake...na wanakondoo wanafuata kauli yake kama kawaida 80% ushindi..mtalia lia mwaka huu..
Tumaini kwani adui wa Waislamu ni PENGO na Wakatoliki, mimi nafikiri adui wa WAISLAMU TANZANIA ni namna wanavyojichukulia na kuyaona maisha huku wakisahau Historia yao. mara nyingi tunadhani ama kufikiri kuwa Wakristo wanawagandamiza waislamu, threads nyingi zinaonyesha kwamba matatizo ya UISLAMU tz NI Ukristo....kwani Uislamu hauwezi kushine bila kuutusu na kuwatusi WAKRISTO....Tumain si haki rafiki yangu.
 
Supported; kweli sauti ya wengi ni ya Mungu? why are you quoting this lame quotes, kwa sababu walisema warumi??. Wapiga kura walikuwa wangapi ukicompare na population ya watanzania?

Lengo langu sio kusema wakatoliki hapa, dont take me wrong, hat aliyekuwa askofu wangu Mozes Kulola wa EAGT naye alisema the very same words

Ndege ya uchumi alinilazimisha nitoe hizo links, however hajakosea kuomba hizo links.

Bottom line ni kuwa nilitaka Tumaini aamini na kujua kuwa Kikwete ambaye ni mwislam bado alipendwa na anapendwa na wakristo wengi, nikamtolea mfano kuwa kati ya waliosema JK ni chaguo la Mungu wako baadhi ya wakatoliki. Tumaini anataka kutuaminisha kuwa kuna waraka wa kikatoliki unaopinga waislamu kukaa madarakani, which is a big lie!!!

wakristo siku zote wamewapenda na kuwaheshimu waislam since then; waislam walio wengi wana inferiority complex! and this cause a lots of problems!



Kweli kabisa kauli ya askofu mmoja au mkristo mmoja isichukuliwe kama ni ya watu wote, I do agree with you.

Kama nilivyoeleza hapo juu intention ya kueleza haya ni kumwonyesha Tumaini kuwa ni mwongo na mnafiki, christians from different denominations they like muslims! na hao waliosema JK ni chaguo la Mungu wanatosha kumpa elimu kuwa wakatoliki hawan ajenda za siri nchi hii.

Kuhusu kusema kuwa askofu aliteleza kusema ni chaguo la Mungu I do agree with you. Hata hili nililipiga sana vita magazeti ya kikristo. JK and EL at that time waliwapagawisha watanzania kupitia vyombo vya habari, wachungaji hawakuomba na wakafuata mkumbo na kutoa comment ambazo leo wanazijutia.

We need to pray hard before electing leaders; kumtangaza na kusema fulani ni chaguo la Mungu kabla ya uchaguzi na kwenye uchaguzi wa vyama vingi this alone is not God's wisdom!!

Niseme hivi: kila mtu anasemea kutoka 'perspective' fulani. Mfano, wanaosema Kikwete kuchaguliwa kwake kumetokana na rushwa wana hoja kwamba Kikwete hakuchaguliwa kwa ridhaa ya Watanzania (hakuwa chaguo la Mungu). Kama ni kweli ushindi alioupata ulitokana na rushwa, basi wanaopinga wako sahihi.

Kilaini kusema Kikwete ni chaguo la Mungu (amechaguliwa kwa ridhaa ya watu) alikuwa na maana kama ushindi ule ulitokana na utashi wa Watanzania na hasa baada hata wasimamizi kukiri (the election was free and fair), Kilaini asingekuwa na sababu ya kusema kinyume chake. Kwa nini? Kwa sababu sisi wote - yeye, wewe mimi, na yule - tunategemea taarifa tunazopewa na wahusika na tunasema kitu whether rightly or wrongly kutokana na taarifa hizo. And so we make our judgement based on those reports...

Nadhani hili la kusema Kikwete kachaguliwa kwa rushwa limekuja kusemwa baada ya ripoti za awali kuwa uchaguzi ulikuwa huru na wa haki. Mimi nilichoeleza hapo juu ni kwamba kusema Kikwete ni 'chaguo la Mungu' haina maana zaidi ya kusema 'Kikwete amechaguliwa kwa ridhaa ya Watanzania'. Whether kachaguliwa kwa ridhaa ya Watanzania au kutokana na rushwa could be debatable. Lakini in principle, 'chaguo la Mungu' means 'chaguo la watu'.

Fikiria pia semi kama: 'Mungu amenisaidia nimefaulu mtihani', 'Mungu amenijalia watoto wa kiume wawili na wa kike mmoja', 'Mungu amenisaidia nimepona', 'Mungu amenijalia mwaka huu nimevuna magunia 200 ya mpunga', 'Mungu amenisaidia nimepata kazi', 'Mungu amenisaidia nimepata mke/mume', etc. Nini tofauti yake na kusema ... nimefaulu mtihani... nina watoto wa kiume wawili na wa kike mmoja... nimepona... nimevuna magunia 200 ya mahindi... nimepata kazi... nimepata mke/mume...?
 
Supported; kweli sauti ya wengi ni ya Mungu? why are you quoting this lame quotes, kwa sababu walisema warumi??. Wapiga kura walikuwa wangapi ukicompare na population ya watanzania?

Lengo langu sio kusema wakatoliki hapa, dont take me wrong, hat aliyekuwa askofu wangu Mozes Kulola wa EAGT naye alisema the very same words

Ndege ya uchumi alinilazimisha nitoe hizo links, however hajakosea kuomba hizo links.

Bottom line ni kuwa nilitaka Tumaini aamini na kujua kuwa Kikwete ambaye ni mwislam bado alipendwa na anapendwa na wakristo wengi, nikamtolea mfano kuwa kati ya waliosema JK ni chaguo la Mungu wako baadhi ya wakatoliki. Tumaini anataka kutuaminisha kuwa kuna waraka wa kikatoliki unaopinga waislamu kukaa madarakani, which is a big lie!!!

wakristo siku zote wamewapenda na kuwaheshimu waislam since then; waislam walio wengi wana inferiority complex! and this cause a lots of problems!



Kweli kabisa kauli ya askofu mmoja au mkristo mmoja isichukuliwe kama ni ya watu wote, I do agree with you.

Kama nilivyoeleza hapo juu intention ya kueleza haya ni kumwonyesha Tumaini kuwa ni mwongo na mnafiki, christians from different denominations they like muslims! na hao waliosema JK ni chaguo la Mungu wanatosha kumpa elimu kuwa wakatoliki hawan ajenda za siri nchi hii.

Kuhusu kusema kuwa askofu aliteleza kusema ni chaguo la Mungu I do agree with you. Hata hili nililipiga sana vita magazeti ya kikristo. JK and EL at that time waliwapagawisha watanzania kupitia vyombo vya habari, wachungaji hawakuomba na wakafuata mkumbo na kutoa comment ambazo leo wanazijutia.

We need to pray hard before electing leaders; kumtangaza na kusema fulani ni chaguo la Mungu kabla ya uchaguzi na kwenye uchaguzi wa vyama vingi this alone is not God's wisdom!!

We are all conditioned by the thinking of others whether Warumi, Wagriki or Tanzanians! Mfano, hapa Tz tunasema: 'ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: 'watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora', 'maadui watatu wa maendeleo ni ujinga, maradhi na umaskini' etc. Misemo hii inatumika katika maana fulani. Hata kusema 'Vox populi vox Dei' ni msemo unaotumika katika maana fulani - watu wamechagua kwa ridhaa yao (na uchaguzi ni huru na wa haki).

Lakini inawezekana pia watu wengi wasiwe sahihi na wachache tu ndio wakawa sahihi... hata hapa, msemo unabaki na maana ileile... Yaani, kwamba sisi binadamu kwa kawaida tunapotenda mema (tunasema tumejaliwa na Mungu) na tunapotenda mabaya (tunakiri tumemkosea Mungu). Of course, Kilaini aliposema hivyo, alitoa tu maoni yake na pia alikuwa influenced na repoti zilizotolewa kwa wakati huo na hivyo hakuwa na sababu ya maana ya ku'doubt' ushindi wa Kikwete.
 
Tumaini kwani adui wa Waislamu ni PENGO na Wakatoliki, mimi nafikiri adui wa WAISLAMU TANZANIA ni namna wanavyojichukulia na kuyaona maisha huku wakisahau Historia yao. mara nyingi tunadhani ama kufikiri kuwa Wakristo wanawagandamiza waislamu, threads nyingi zinaonyesha kwamba matatizo ya UISLAMU tz NI Ukristo....kwani Uislamu hauwezi kushine bila kuutusu na kuwatusi WAKRISTO....Tumain si haki rafiki yangu.


That is purely due to inferiority complex. Niambie shule nzuri ya kiislam inayofanya vizuri katika mitihani ya kuanzia o-level to a-level;hamna, whose problem is that? christian?

Kuna waislam ninawafahamu wanaona aibu kuitwa waislam, they mind their own business na wako mbali katika kila nyanja. waislam waliofeli maisha ndio wananyoosha kidole kwa wakristo, mbaya zaidi wakiongozwa na wasomi wa aina ya Tumain, ambao walitakiwa wawe mbele kugundua cultural and historical effects zilizofanya waislam warudi nyuma.waarabu walichukua watumwa na kuleta misikiti, wahindi walileta biashara na kujenga mashule, wamisionari walijenga shule, hospitali na makanisa na kupitia wao wakatuibia mali zetu, this is historizal facts! it was difficult kwa waliolelewa kiislam kusoma misheni!, waliosoma misheni leo ni maprofessa wazuri na still wana dini zao za kiislam!!!

karne ya sasa haimtambui mtu wa dini yoyote inatambua competence, so when some islams are busy on blaming christians , christions and some other islams are busy on building competence!

kwa hiyo unagundua kizazi hii cha kulalamika,they will be slave forever, maana survival of fittest rules haichagui dini.
 
That is purely due to inferiority complex. Niambie shule nzuri ya kiislam inayofanya vizuri katika mitihani ya kuanzia o-level to a-level;hamna, whose problem is that? christian?

Ma awal- Tanga
Kinondoni Muslim-Dar
Almuntazir-Dar
.
.
.
 
Ma awal- Tanga
Kinondoni Muslim-Dar
Almuntazir-Dar
.
.
.

Waberoya aliposema shule nzuri za kiislam hakuwa na maana ya uzuri wa majengo ni ubora wa elimu inayotolewa na matokeo mazuri, mfano St. Francis ya Mbeya , Loyola, St. Antony, Marian ya Bagamoyo, etc ni shule zinazoongoza si kwa majengo bali kwa matokeo mazuri na ukiangalia nyingi kama si zote ziko chini ya imani gani?.
 
Waberoya aliposema shule nzuri za kiislam hakuwa na maana ya uzuri wa majengo ni ubora wa elimu inayotolewa na matokeo mazuri, mfano St. Francis ya Mbeya , Loyola, St. Antony, Marian ya Bagamoyo, etc ni shule zinazoongoza si kwa majengo bali kwa matokeo mazuri na ukiangalia nyingi kama si zote ziko chini ya imani gani?.

Mkuu wangu Facts1 nimemsoma sana waberoya na ndiyo maana nikatoa na Link kwenye post iliyofuata ili Tumaini aone

Wabe atakuwa amenisoma
 
That is purely due to inferiority complex. Niambie shule nzuri ya kiislam inayofanya vizuri katika mitihani ya kuanzia o-level to a-level;hamna, whose problem is that? christian?

Kuna waislam ninawafahamu wanaona aibu kuitwa waislam, they mind their own business na wako mbali katika kila nyanja. waislam waliofeli maisha ndio wananyoosha kidole kwa wakristo, mbaya zaidi wakiongozwa na wasomi wa aina ya Tumain, ambao walitakiwa wawe mbele kugundua cultural and historical effects zilizofanya waislam warudi nyuma.waarabu walichukua watumwa na kuleta misikiti, wahindi walileta biashara na kujenga mashule, wamisionari walijenga shule, hospitali na makanisa na kupitia wao wakatuibia mali zetu, this is historizal facts! it was difficult kwa waliolelewa kiislam kusoma misheni!, waliosoma misheni leo ni maprofessa wazuri na still wana dini zao za kiislam!!!

karne ya sasa haimtambui mtu wa dini yoyote inatambua competence, so when some islams are busy on blaming christians , christions and some other islams are busy on building competence!

kwa hiyo unagundua kizazi hii cha kulalamika,they will be slave forever, maana survival of fittest rules haichagui dini.

Sorry offpoint...sina haja ya kujibu streotype zako na za wengine kama wewe.

Wanaoogopa kuitwa waislamu tunawaita wanafiki ...nao ni tatizo

Zingine ni blah blah ambazo hazina maana kwa ambao tuna data za jinsi Nyerere systematically alivyowabagua wabagua waislamu kwenye elimu tanzania for 23 years shame on him...lakini sasa tunaenda vizuri tu.
 
Zingine ni blah blah ambazo hazina maana kwa ambao tuna data za jinsi Nyerere systematically alivyowabagua wabagua waislamu kwenye elimu tanzania for 23 years shame on him...lakini sasa tunaenda vizuri tu.
tatizo la Waislamu ni kutopambana kujikwamua na kuendelea kupiga kelekele na kutafuta huruma na zidi zaidi kufuga madevu na majini .....kukaa na kudhani kuwa mwalimu aliwaonea ni upuuzi, hakukua na wasomi na hakukua na mkakati miongoni mwenu/waislamu kupigana kufuta ujinga zaidi kulialia.
sehemu ya familia yangu ni Waislamu, na wote wamebaki kuwa duni , wanasubiri misaada ya vitu vidogo vidogo, na ndio maana migogoro mingi ya Waislamu ni vitu vitokanavyo na wivu na husda dhidi ya maendeleo ya jamii isio ya kiislamu, kuwa Muislamu tayari ni tatizo, kuishi na Uislamu ni tatizo zaidi, kuswali swala tano ni tatizo zaidi. kwa kadri wanakua washika dini ndivyo wanavyokua wagomvi zaidi, naona aibu kua na Undugu wa damu na hawa waislamu.
 
Mkuu wangu Facts1 nimemsoma sana waberoya na ndiyo maana nikatoa na Link kwenye post iliyofuata ili Tumaini aone

Wabe atakuwa amenisoma

Nimekusoma ndugu yangu, hakuna la kusema hapo! ukweli unasimama siku zote, wakati watoto wetu wanashinda shule kna kwenda kanisani kwa utaratibu maalumu,watoto wao wa wengine wanashinda majengo ya ibada kila siku kusoma na kukariri kiarabu wasichokielewa! bytes zote za kucrame quran zingetumika kujua elimu wanayoililia wangekuwa wapi?

Ziko chini ya Jina lipitalo Majina yote

Amen! Ambalo kwa jina hilo Kila goti Litapigwa, Kila jicho litamwona na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI BWANA.!
 
tatizo la Waislamu ni kutopambana kujikwamua na kuendelea kupiga kelekele na kutafuta huruma na zidi zaidi kufuga madevu na majini .....kukaa na kudhani kuwa mwalimu aliwaonea ni upuuzi, hakukua na wasomi na hakukua na mkakati miongoni mwenu/waislamu kupigana kufuta ujinga zaidi kulialia.
sehemu ya familia yangu ni Waislamu, na wote wamebaki kuwa duni , wanasubiri misaada ya vitu vidogo vidogo, na ndio maana migogoro mingi ya Waislamu ni vitu vitokanavyo na wivu na husda dhidi ya maendeleo ya jamii isio ya kiislamu, kuwa Muislamu tayari ni tatizo, kuishi na Uislamu ni tatizo zaidi, kuswali swala tano ni tatizo zaidi. kwa kadri wanakua washika dini ndivyo wanavyokua wagomvi zaidi, naona aibu kua na Undugu wa damu na hawa waislamu.

So what next kama unaona aibu ita polisi wawaue wote waislamu ili mbaki wakristo aagh!

Next endelea kutema chuki zako tuzisikie.
 
Back
Top Bottom