Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ngoja aje yule kifaduro Lucas Mwashambwa akuparureView attachment 3236916
Mimi Jidu ni mnazi wa Mama Samia, ila kwa safari ya Addis Ethiopia, wardrobe imekosa viwango. Wapambe wa mama mkoje lakini?
Sare alizovaa mama hapa haziko Diplomatic na utafikiri anaenda kitchen party!
Mjue kwamba mama ni kioo cha watanzania wote.
Mbona kawaka kinyamwezi tuView attachment 3236916
Mimi Jidu ni mnazi wa Mama Samia, ila kwa safari ya Addis Ethiopia, wardrobe imekosa viwango. Wapambe wa mama mkoje lakini?
Sare alizovaa mama hapa haziko Diplomatic na utafikiri anaenda kitchen party!
Mjue kwamba mama ni kioo cha watanzania wote.
Ref Daily News front page.
Ha ha ha, kifaduro!Ngoja aje yule kifaduro Lucas Mwashambwa akuparure
Sio wazee, vinasimamiwa na wajinga..akili zao zina udumavu.nyie wapokezi wa wageni hapa bongo..mumeona jinsi marais wanavyopokelewa huko nchi za wenzetu wanapowasili..sio nyie kila mgeni akija nchini eti mmekariri lazima mgeni apokelewe kwa vikundi vya ngoma na maigizo na vibwebwe vingi.. hizo mambo ni outdated sasa badilikeni tatizo vitengo vya mapokezi vimeshikwa na wazee na miongozo yao ni ile ya miaka ya 70-80..hawana jipya
Wewe ulivaa nepi siku ya harusi yako!📌📌📌Badala ya kuulizia ziara hiyo inawaezaje kugeuzwa fursa au imezalisha matunda yapi kwa ziara hiyo.Mtu kabisa anaanza kukadili nguo alizovaa mtu😣😣😣.
Anyways once a shithole country always will be!!!
📌Hamna akili!!!Wewe ulivaa nepi siku ya harusi yako!
Huna viwango kabisa.
Kumbe unajijua!📌Hamna akili!!!
Ila shemeji naye bwana! Wakati mwingine anazingua! Anatuleti down sana mimi na bro wangu Hafidhi!View attachment 3236916
Mimi Jidu ni mnazi wa Mama Samia, ila kwa safari ya Addis Ethiopia, wardrobe imekosa viwango. Wapambe wa mama mkoje lakini?
Sare alizovaa mama hapa haziko Diplomatic na utafikiri anaenda kitchen party!
Mjue kwamba mama ni kioo cha watanzania wote.
Ref Daily News front page.
Tangu uanze kumshabikia Giggy Money, sishangai usipopenda mavazi kama hayaView attachment 3236916
Mimi Jidu ni mnazi wa Mama Samia, ila kwa safari ya Addis Ethiopia, wardrobe imekosa viwango. Wapambe wa mama mkoje lakini?
Sare alizovaa mama hapa haziko Diplomatic na utafikiri anaenda kitchen party!
Mjue kwamba mama ni kioo cha watanzania wote.
Ref Daily News front page.
Wewe na mwenzako hamna akili!!!Kumbe unajijua!
UsitusumbueMODS nisahihishie kichwa, ni Mama badala ya Nama pls.
Ndio kitu namwabiaga Mdakuzinyie wapokezi wa wageni hapa bongo..mumeona jinsi marais wanavyopokelewa huko nchi za wenzetu wanapowasili..sio nyie kila mgeni akija nchini eti mmekariri lazima mgeni apokelewe kwa vikundi vya ngoma na maigizo na vibwebwe vingi.. hizo mambo ni outdated sasa badilikeni tatizo vitengo vya mapokezi vimeshikwa na wazee na miongozo yao ni ile ya miaka ya 70-80..hawana jipya