Wardrobe ya Nama mbona wakati mwingine inakosa standards!

Wardrobe ya Nama mbona wakati mwingine inakosa standards!

Ndio kitu namwabiaga Mdakuzi
Zile ngoma huwa naona aibu sana!
Kila nchi hupenda kuandaa mapokezi yenye burudani za kipekee, za ndani. Hilo ndilo huwa lengo la kwanza la burudani za mapokezi ya wageni wa kimataifa.

Hoja iliyopo hapa, ni kwamba wao kwa kuwa hawaweki ngoma za asili kwa vile hawapendi au labda wamezichoka? Kwa matokeo ya utafiti upi labda?

Kwanini tusione kuwa, wao hawana aina nyingi za ngoma za asili kama sisi? Wao wana ukabila wanaogopa kutumia ngoma za kabisa A kwa kuwa watu wa kabila B watakasirika?

Ova
 
Mama kapendeza sana na vizuri sana kama ilivyo kawaida yake kupendeza na kuvaa nguo zenye kuakisi nafasi ya Urais. Kwa hakika anatuheshimisha sana katika anga la kimataifa.
Mpeni ukweli mama msiwe kama wale waliomsifia mfalme kwa kuvaa nguo transparent, aliyoshonewa na Abunuwasi enzi za Harun Rashid.
Ni hadi katokea mtoto mdogo akasema mfalme yuko uchi, ndo wengine wakadakia.
Mama hajavaa Diplomatic attire, nyie machawa muwe wa kwanza kuliona hilo.
 
Back
Top Bottom