Warembo wa Bukoba

Mi siwezi tapeliwa na mtu kutoka kyamulaile huko 😂 😂 😂
 
Mkuu hakuna kitu...niamini mimi...wahaya huwa wanawasumbua watu ambao hamjawahi fika bukoba but kama unaijua vizuri bukoba wahaya hawawezi kukusumbua
We unamwambia nini huyo? Wakati ni muhaya na yeye?


Watu wanakushangaa tu
 
Vijiji vyao gani hizo? mtu anapokwambia anaishi kwenye nyumba ya gorofa na ana magari 9 alafu unaenda kwake unakuta anaishi kwenye nyumba ya vyumba vitatu na anamiliki gari moja ya kutembelea ...huyo mtu unamwelewaje?
Sasa huoni kwamba huyo ni muongo!!!

Mie naongelea ninayoyashuhudia huko uhayan
 
Ohhhk,hata yale mashati enzil zile maarufu kwa jina Juliana walikuwa wakiyanunua Uganda?
 
Yaani inaonyesha wewe ni asili ya wahaya full stop .
Madharau
Mnajishaua
Mnajiona nyie ndio mpo juu kumbe maboya tu.
Elimu ya wizi ndio mnayo
So jibebe
 
Bukoba balaaa nilikua naona senene Ni wadudu wachafu. Ila nilipofika BK nilipelekwa sokoni nikanunua senene kwa hela yangu nikalostiwa wacha wee utamu wake mpaka leo nawagonga vizuri Sana BK balaa so mchezo
 
Bukoba balaaa nilikua naona senene Ni wadudu wachafu. Ila nilipofika BK nilipelekwa sokoni nikanunua senene kwa hela yangu nikalostiwa wacha wee utamu wake mpaka leo nawagonga vizuri Sana BK balaa so mchezo
Umekuwa mdau senene ni watamu hawakinaishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…