Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siwezi tapeliwa na mtu kutoka kyamulaile huko 😂 😂 😂Chukua mshamba number 1 wa Kagera na mjanja number one wa Moro waweke eneo moja la jiji kali ambayo wote sio wenyeji.
Rudi baada ya mwaka kuwaona. Umewahi kujiuliza kwa nini matapeli wengi ni Wahaya?. Na unakuta kaja mjini ashakuwa mkubwa.
Na wanawatapeli hao hao wajanja.
Nipo mkuu unateseka kwanHapa lazima Instanbul Atie timu
Maruku beach 5 km from town centreHiyo Maruku Beach inasifiwa sana...
Ni mwendo wa km ngapi kutoka Bk mjini?
We unamwambia nini huyo? Wakati ni muhaya na yeye?Mkuu hakuna kitu...niamini mimi...wahaya huwa wanawasumbua watu ambao hamjawahi fika bukoba but kama unaijua vizuri bukoba wahaya hawawezi kukusumbua
Sasa huoni kwamba huyo ni muongo!!!Vijiji vyao gani hizo? mtu anapokwambia anaishi kwenye nyumba ya gorofa na ana magari 9 alafu unaenda kwake unakuta anaishi kwenye nyumba ya vyumba vitatu na anamiliki gari moja ya kutembelea ...huyo mtu unamwelewaje?
Acha chukiNachukia wanawake wa kihaya, wanapenda 'kuingiziwa mpini chini ya kitovu' yani mtaa wenye mwanamke wa kabila hilo, wamaume wote wa mtaa huo wamepita naye.
We unamwambia nini huyo? Wakati ni muhaya na yeye?
Watu wanakushangaa tu
Ohhhk,hata yale mashati enzil zile maarufu kwa jina Juliana walikuwa wakiyanunua Uganda?Bukoba kuna warembo wazuri sana wenye misambwanda miguu ya bia na figa namba 8.
Wamegawanyika Watusi kwa hapa wanaitwa wanyarwanda pia wapo walio mix Wahaya na Watusi nakutoa watoto wakali.
Pia wapo Wanyakore ambao ni wazuri sana wengi wao ni weusi kwa mbali ni maji ya kunde.
Wahaya pia ni wazuri sana..Bukoba unakuta binti ni beki tatu lakini ni mzuri sana unakuta wengi wanao kuja huku upenda kufukuzia beki tatu kuepuka gharama.
Warembo wa hapa wengi wanapenda kuishi maisha ya kujitegemea hii inatokana wengi wameenda shule asa hawa ambao ni wahaya asilimia mia.
Wengi wanapenda kuolewa na wahaya wenzao hawapendi shida. Wana akili za maisha ni watafutaji wazuri wa hela ukifika Bukoba utakuta biashara kubwa wanamiliki wao.
Wanapenda kuzungumza kihaya hata hawe amesoma vipi au hawe mrembo kiasi gani hii inatokana na wahaya kukipenda kihaya sana.
Wengi wanapenda sana Kampala na shopping nyingi wanapenda kufanyia huko..Kama una swali uliza
Yaani inaonyesha wewe ni asili ya wahaya full stop .kweli nimesoma coment zako zote za juu,.nimegundua hamna kitu kichwani zaidi tu manenomaneo matupu yasiyokuwa na faida hata kwako pia. Nahisi hili watu wengi wamegundua ila kukwambia wanaanzaje sasa?,maana wataambulia za uso kwa matusi na uongouongo husio na fact hata punje moja angalau watu wajifunze basi kutoka kwako.
True yaani meusi mkaa afadhali unamatumizi.Kaka zao wanapenda sifa masifa..alafu weusi kama mkaa
Hao wenye miguu kama spoko na shape za ajabu ajabu.Instanbul Njoo Moshi huku uone maua ya dunia wewe
Kueni wapole, tusiingiliane majukumu![emoji3][emoji3][emoji3] unatubania hadi kuosha macho, tukienda mbali zaidi utafanyaje?
Umekuwa mdau senene ni watamu hawakinaishiBukoba balaaa nilikua naona senene Ni wadudu wachafu. Ila nilipofika BK nilipelekwa sokoni nikanunua senene kwa hela yangu nikalostiwa wacha wee utamu wake mpaka leo nawagonga vizuri Sana BK balaa so mchezo
SanteMaruku beach 5 km from town centreView attachment 1133360
Ha ha ha ha.... UmelogwaNi wivu Tu.
Bora ya hizo sifa kuliko mkoa wako wa Kilimanjaro unaoongoza Kwa kutoa mashoga nchini.asilimia kubwa ya mashoga wanatoka KLM na Arusha.
Ninawafahamu sana....Hahaaah mkuu wewe unawafahamu vyema