Mkuu ndio maana nikamuuliza age yake kwqnza ana miaka mingapi maana anaonekana ni mtoto kwanzaa...You are just a little boy who is bothered about pimples on a lady's face.
Halafu unadhani baibui ni kwa ajili ya kuficha some imperfections?
You are so dumb and naive. Hope jeshini will do you some good.
Mzee hujakutana na vitu wewe.. Acha kujifariji!! Au mzee nyie ndo wale mnapita popote? Hapana!!Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.
Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Hivi unahisi wakisoma hili bandiko watajiskiaje? Hadi unasema wana chunusi za wazi sijui, sasa kuwa na chunusi ni kukosa kujitibia? Umejuaje wewe kwamba hawajaribu kujitibu labda imeshindikana? Kwanini uchangamshe jukwaa na story za kuwasema watu ? Hamna stories zingine za kuchangamsha?Upo sahihi kabisa kwa hoja zako..
1. Nimewakosea
2. Waliniheshimu
3. Pengine pia hawakupendezwa nami
4. Ningeweza kukausha
5. Hii ya Umama hapana, haupo sahihi😊
Nimekuja tu kuchangamsha jukwaa ndugu zanguni; japo ujumbe umefika..
Kama unaona qualities zako ni 50-50 baki tu kitaa mazee..🤔🤔.. Ngoja niwaharibie wengine mliopo kwenye pipeline
Hii coment itakupa demu humu. Ulete mrejesho.Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.
Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Binafsi nimekuelewa Mkuu! 🙌🏽Nawaombeni msinielewe vibaya.
Sitaki kuwaharibia watu..
Ninachokimaanisha
1. Zile mbwembwe na vionjo ambavyo mtu anavipresent halafu unakuja kuonana na mtu maneno mengi kama nini.. Completely below par (kwa lugha ya staha)
2. Sihitaji na wala sijaongelea level za kisanii au kistar kama hoja ya ndugu hapo chini sijui Hamisa.. Naongelea ukawaida wa mwanadada wa Kiafrica
Ni maoni yangu lkn..
Bahati nzuri kuna ndugu amesema mpo wazuri sana humu.. Ameshani prove wrong!!
Mbona mnatumia nguvu hivyo? Vichunusi kuna asiyevijua? Mimi ndiye niliyeona.. I am the subject.. Nyie wengine mnaweka theories!! Hapo sijaingia kwenye namna ya kuzungumza.. Na mengineyo..You are just a little boy who is bothered about pimples on a lady's face.
Halafu unadhani baibui ni kwa ajili ya kuficha some imperfections?
You are so dumb and naive. Hope jeshini will do you some good.
Idiot.Mbona mnatumia nguvu hivyo? Vichunusi kuna asiyevijua? Mimi ndiye niliyeona.. I am the subject.. Nyie wengine mnaweka theories!! Hapo sijaingia kwenye namna ya kuzungumza.. Na mengineyo..
Mnisamehe jamani, acha tupumzishe miili tayari kwa siku nyingine
😴😴😴😴
Aargh we kubali tu uzi wako umezingua bana, eti hadi ana chunusi hivi mwenye chunusi si atakua ameelewa ni yeye ndiye aliyeonana na wewe kichwa maji umekuja kumsema humu. Nyie ndo Mnafanya tuwe wazitoo hata kuonana na watu potential kwa utoto kama huu😏I am more than a mature man.. Nawaheshimu sana wanawake.. Sana kupita maelezo.. Lkn hainizuii kuzungumza!!
Kwanza ndio maana nimekuja na userID tofauti ili kuwasitiri, cz ndani ya miezi 18 iliyopita ni wangapi humu mmeonana na wa humu?
Shukrani nyingi.. Unanipa moyo wa kuendelea kujitetea hapa..Binafsi nimekuelewa Mkuu! 🙌🏽
Naomba nianze na huyu,she's beautiful n very good upstairs!! Wazungu wanaita beauty with brain!!Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.
Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.
So there you are Mkuu K.Y.
Tena ni mimi hapa mkuu maana ndiyo naenda pm mapemaa😀😀he's such a gentlemanHii coment itakupa demu humu. Ulete mrejesho.
Nakubali.. I may be an idiot, lkn najua kila mmoja amejionja.. Do your homework!Idiot.
Rejea uliponinukuu nikiongelea suala la chunusi..Aargh we kubali tu uzi wako umezingua bana, eti hadi ana chunusi hivi mwenye chunusi si atakua ameelewa ni yeye ndiye aliyeonana na wewe kichwa maji umekuja kumsema humu. Nyie ndo Mnafanya tuwe wazitoo hata kuonana na watu potential kwa utoto kama huu😏
Ukirejea wewe tu inatosha mkuuRejea uliponinukuu nikiongelea suala la chunusi..
Meeting ya nn? Mm sio kijana kama wewe ambae huna kazi una muda wa kuchezea kutafuta wanawake mitandaoni kisha kukutana nao!!!Hongera. Hope meeting yenu ilienda vizuri!
Vyovyote vile.. Lkn wanatakiwa kufanya homework yao vema.. Feedback ni muhimu.What happened in Vegas stays in Vegas..
When you build in silent peoples won't know where yo attack for your Demise.
I do hope this shall ring a bell to you!
🤣Ndo maana sipend kuonana na mwana jf.
Pamoja sana!Shukrani nyingi.. Unanipa moyo wa kuendelea kujitetea hapa..
Homework? Why would I want to meet some people I got acquainted with online then diss them about their natural flaws because they did not meet my expectations?Nakubali.. I may be an idiot, lkn najua kila mmoja amejionja.. Do your homework!
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..
Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..
Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..
Ni vema tuwe real tu kwakweli.
BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.
Anyone to prove me wrong?
Sidhani kama huu uzi unahitaji povu
Adios!!
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..
Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..
Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..
Ni vema tuwe real tu kwakweli.
BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.
Anyone to prove me wrong?
Sidhani kama huu uzi unahitaji povu
Adios!!
Kha mbombo 😹😹Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..
Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..
Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..
Ni vema tuwe real tu kwakweli.
BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.
Anyone to prove me wrong?
Sidhani kama huu uzi unahitaji povu
Adios!!