Warembo wa JF...

Warembo wa JF...

Hii mada nyepesi sana kuielewa ila naona vijana mnacharuana humu bila sababu za msingi,mie nadhani mkuu hapa alikosea kufananisha u-smart wa mtu kwenye hoja na maandishi yao hapa na kwenye muonekano halisi.

Yeyote humu anaweza kuwa kwenye situation hii even me....anaweza mtu kuniona hapa nipo smart sana kwenye hoja zangu ila siku akiniona uso kwa macho atashangaa siye yule aliyetegemea so hajatukanwa mtu wala hajatajwa mtu kuweni watulivu.
Kweli mkuu. Assumptions zetu ni kuwa wana jf wote:
Wanakaa Dar tena Mbezi Beach,
Wana magari mazuri,
Wana kazi nzuri na mishahara juu,
Wako beautiful na mahandsome..


Sasa subiri ukutane nao ndio utajui hujui!
 
Chief mbona unajifariji na kupotosha uhalisia ?

Hakuna mtu asiye penda kizuri na chenye kutuliza jicho lake. Kadhalika uzuri si wa sura tu,ila sharti uwe umempenda na anakuvitia.

Mathalani mimi napenda kizuri lakini kwa ajili yangu mimi peke yangu na si kwa ajili ya show off,sababu unaweza kuishi na mimi na ukawa rafiki yangu ila mke wangu usi mjue. Kwahiyo tusiwe waongo katika hili na kujifariji.
Usilazimishe mimi niwe kama wewe. Nimeachana sana na wanawake warembo wa sura kwa maana wana maneno machafu sana na mimi nina hasira za karibu nikitukanwa na mwanamke ningeweza kuwavunja taya. Wewe baki kama ulivyo.
 
Usilazimishe mimi niwe kama wewe. Nimeachana sana na wanawake warembo wa sura kwa maana wana maneno machafu sana na mimi nina hasira za karibu nikitukanwa na mwanamke ningeweza kuwavunja taya. Wewe baki kama ulivyo.
Usichokielewa ni kuwa wewe unaleta habari za kujifariji mimi naongelea silika na uhalisia.

Nilichofundishwa ni kuwa yule ambaye haitaki haki siwezi kumfanya aikubali haki,hivi ndivyo nilivyo mimi.

Huwezi shindana na ukweli lazima uumie.

Kazi yangu nimemaliza.

Tuko pamoja.
 
Kweli mkuu. Assumptions zetu ni kuwa wana jf wote:
Wanakaa Dar tena Mbezi Beach,
Wana magari mazuri,
Wana kazi nzuri na mishahara juu,
Wako beautiful na mahandsome..


Sasa subiri ukutane nao ndio utajui hujui!
Sure!

Kuna siku nilipanda bus,hizi Mwendokasi nikawa nimesimama as you know macho hayana pazia yupo jamaa mmoja alikuwa amekaa mbele yangu bahati mbaya macho yangu yakatua kwenye kioo cha simu yake,jamaa alikuwa ndani ya JF tena alikuwa ana-type kitu so sometimes alikuwa anaongopa kwa wanajamvi yupo Dubai au USA,nani angekataa?

Na ni mtu wa kawaida sanaa kwa kumuangalia ila ndo tunasema hatuwezi kujuana kwa maandishi yetu humu watu wawe huru vibaya kama anataja mtu jina kama hakutaja mawazo yake yaheshimike.
 
Usichokielewa ni kuwa wewe unaleta habari za kujifariji mimi naongelea silika na uhalisia.

Nilichofundishwa ni kuwa yule ambaye haitaki haki siwezi kumfanya aikubali haki,hivi ndivyo nilivyo mimi.

Huwezi shindana na ukweli lazima uumie.

Kazi yangu nimemaliza.

Tuko pamoja.
Usilazimishe mimi niwe kama wewe. Wewe baki kama ulivyo na mimi niwe hivi hivi ndio maana kuna Simba na Yanga.
 
Karucee[emoji4].. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..

Aisee[emoji706]
 
Ukiwa na device moja rahisi kudakwa na mods. Ila kama mtu ana simu janja mbili na laptop moja hapo kila device itakuwana id yake ya jf.
Sasa all that for what?

What are you hiding from?

Mi nitabakigi Karucee huyu huyu. If I make sense fresh, if I don't bangi zishanibangua fresh tu... I will just be me.

Lol. 🤭🤭🤭🤭😃😃😃😃
 
Usitupeperushie ndege maana nilipanga mwakani nianze kutumia PM maana nasikia kuna kitu kinaitwa PM.
 
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..

Ni vema tuwe real tu kwakweli.

BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Mkuu ni kweli alicho kisema Lizzy yaani unakuja kumuweka humu wakati yeye mwenyewe fake dah
 
Kweli mkuu. Assumptions zetu ni kuwa wana jf wote:
Wanakaa Dar tena Mbezi Beach,
Wana magari mazuri,
Wana kazi nzuri na mishahara juu,
Wako beautiful na mahandsome..


Sasa subiri ukutane nao ndio utajui hujui!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom