Warembo wa JF...

Warembo wa JF...

You are just a little boy who is bothered about pimples on a lady's face.

Halafu unadhani baibui ni kwa ajili ya kuficha some imperfections?

You are so dumb and naive. Hope jeshini will do you some good.
Mkuu ndio maana nikamuuliza age yake kwqnza ana miaka mingapi maana anaonekana ni mtoto kwanzaa...
 
Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.

Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Mzee hujakutana na vitu wewe.. Acha kujifariji!! Au mzee nyie ndo wale mnapita popote? Hapana!!
 
Upo sahihi kabisa kwa hoja zako..
1. Nimewakosea
2. Waliniheshimu
3. Pengine pia hawakupendezwa nami
4. Ningeweza kukausha
5. Hii ya Umama hapana, haupo sahihi😊

Nimekuja tu kuchangamsha jukwaa ndugu zanguni; japo ujumbe umefika..

Kama unaona qualities zako ni 50-50 baki tu kitaa mazee..🤔🤔.. Ngoja niwaharibie wengine mliopo kwenye pipeline
Hivi unahisi wakisoma hili bandiko watajiskiaje? Hadi unasema wana chunusi za wazi sijui, sasa kuwa na chunusi ni kukosa kujitibia? Umejuaje wewe kwamba hawajaribu kujitibu labda imeshindikana? Kwanini uchangamshe jukwaa na story za kuwasema watu ? Hamna stories zingine za kuchangamsha?
 
Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.

Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Hii coment itakupa demu humu. Ulete mrejesho.
 
Nawaombeni msinielewe vibaya.
Sitaki kuwaharibia watu..
Ninachokimaanisha
1. Zile mbwembwe na vionjo ambavyo mtu anavipresent halafu unakuja kuonana na mtu maneno mengi kama nini.. Completely below par (kwa lugha ya staha)

2. Sihitaji na wala sijaongelea level za kisanii au kistar kama hoja ya ndugu hapo chini sijui Hamisa.. Naongelea ukawaida wa mwanadada wa Kiafrica

Ni maoni yangu lkn..

Bahati nzuri kuna ndugu amesema mpo wazuri sana humu.. Ameshani prove wrong!!
Binafsi nimekuelewa Mkuu! 🙌🏽
 
You are just a little boy who is bothered about pimples on a lady's face.

Halafu unadhani baibui ni kwa ajili ya kuficha some imperfections?

You are so dumb and naive. Hope jeshini will do you some good.
Mbona mnatumia nguvu hivyo? Vichunusi kuna asiyevijua? Mimi ndiye niliyeona.. I am the subject.. Nyie wengine mnaweka theories!! Hapo sijaingia kwenye namna ya kuzungumza.. Na mengineyo..

Mnisamehe jamani, acha tupumzishe miili tayari kwa siku nyingine
😴😴😴😴
 
Mbona mnatumia nguvu hivyo? Vichunusi kuna asiyevijua? Mimi ndiye niliyeona.. I am the subject.. Nyie wengine mnaweka theories!! Hapo sijaingia kwenye namna ya kuzungumza.. Na mengineyo..

Mnisamehe jamani, acha tupumzishe miili tayari kwa siku nyingine
😴😴😴😴
Idiot.
 
I am more than a mature man.. Nawaheshimu sana wanawake.. Sana kupita maelezo.. Lkn hainizuii kuzungumza!!

Kwanza ndio maana nimekuja na userID tofauti ili kuwasitiri, cz ndani ya miezi 18 iliyopita ni wangapi humu mmeonana na wa humu?
Aargh we kubali tu uzi wako umezingua bana, eti hadi ana chunusi hivi mwenye chunusi si atakua ameelewa ni yeye ndiye aliyeonana na wewe kichwa maji umekuja kumsema humu. Nyie ndo Mnafanya tuwe wazitoo hata kuonana na watu potential kwa utoto kama huu😏
 
Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.

Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.

So there you are Mkuu K.Y.
Naomba nianze na huyu,she's beautiful n very good upstairs!! Wazungu wanaita beauty with brain!!
Tatzo la mleta mada anatafuta wanawake mitandaoni...
 
Aargh we kubali tu uzi wako umezingua bana, eti hadi ana chunusi hivi mwenye chunusi si atakua ameelewa ni yeye ndiye aliyeonana na wewe kichwa maji umekuja kumsema humu. Nyie ndo Mnafanya tuwe wazitoo hata kuonana na watu potential kwa utoto kama huu😏
Rejea uliponinukuu nikiongelea suala la chunusi..
 
What happened in Vegas stays in Vegas..
When you build in silent peoples won't know where yo attack for your Demise.
I do hope this shall ring a bell to you!
Vyovyote vile.. Lkn wanatakiwa kufanya homework yao vema.. Feedback ni muhimu.
This is their feedback.. Ofcz, it is my feedback as well!
 
Nakubali.. I may be an idiot, lkn najua kila mmoja amejionja.. Do your homework!
Homework? Why would I want to meet some people I got acquainted with online then diss them about their natural flaws because they did not meet my expectations?

Point to note, Not maybe, you are the exact definition of an idiot.
 
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..

Ni vema tuwe real tu kwakweli.

BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..

Ni vema tuwe real tu kwakweli.

BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..

Ni vema tuwe real tu kwakweli.

BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Kha mbombo 😹😹
 
Back
Top Bottom