Warembo wa JF...

Mleta mada sijui maada unataka kutuharibia, stop that.
 

Bora hata na sie wabaya tumepata hope
 
Sasa sindo hivyo Mkuu, uzuri upo kwenye jicho la muonaji! Na ndivyo hivyo, kwake ni zaidi ya alivyotegemea. Yaani kwa viwango vyake ni zaidi yaa!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakika binadamu hatufanani mkuu
 
Mimi Carlos The Jackal , pamoja na mambo yangu mengi weeee ila kutoka ktk Purkinje fibers za Moyo wangu na Hippocampus ya Kichwan mwangu.

[emoji116][emoji116]
Nmefanikiwa kuonana uso kwa uso, au kupitia picha na wanawake wa humu kadhaa.
Wadada warembooo, wasafiiii, wanajipendaaaaa, Sura nzur na kikubwa ni mashape yao.


Ndugu Mtoa mada na ndugu Msomaji na mfatiliaji wa komenti zangu.


Mimi Carlos ,nina akili timamu, aminin nawambia, JF inamapini kwelikweli ,JF ina warembo sanaaa

Yaan unamuona mwanamke , unamuuliza, Umetoroka mbingun??? Maana she is just an Angel , so Perfect,Smart and Sexy





Ningewataja kwa majina, ila kwakua ndugu wasomaji wangu, akili zenu zoteee mkiona ID yangu mnawaza masihara, basi hata nikiwataja, akili zenu zitawaza ujinga[emoji23][emoji23]

Siwataji ng'ooo .
 
Hii mada nyepesi sana kuielewa ila naona vijana mnacharuana humu bila sababu za msingi,mie nadhani mkuu hapa alikosea kufananisha u-smart wa mtu kwenye hoja na maandishi yao hapa na kwenye muonekano halisi.

Yeyote humu anaweza kuwa kwenye situation hii even me....anaweza mtu kuniona hapa nipo smart sana kwenye hoja zangu ila siku akiniona uso kwa macho atashangaa siye yule aliyetegemea so hajatukanwa mtu wala hajatajwa mtu kuweni watulivu.
 
Yote ya nini haya?

Mbona huyo mwenye mada yake hakumtukana mtu?tatizo la kupenda kusikia kile unachopenda wewe ndo hivi unafikia kununua case wakati hujatajwa kwamba wewe ni mmoja wa hao wenye chunusi unless useme na wewe umo!
 
wamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Chief mbona unajifariji na kupotosha uhalisia ?

Hakuna mtu asiye penda kizuri na chenye kutuliza jicho lake. Kadhalika uzuri si wa sura tu,ila sharti uwe umempenda na anakuvitia.

Mathalani mimi napenda kizuri lakini kwa ajili yangu mimi peke yangu na si kwa ajili ya show off,sababu unaweza kuishi na mimi na ukawa rafiki yangu ila mke wangu usi mjue. Kwahiyo tusiwe waongo katika hili na kujifariji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…