Hahaha!Nyie ndo wale mnakariri theory.. Crap!
Mleta mada sijui maada unataka kutuharibia, stop that.Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..
Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..
Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..
Ni vema tuwe real tu kwakweli.
BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.
Anyone to prove me wrong?
Sidhani kama huu uzi unahitaji povu
Adios!!
Hahahahaaaa, kwanini mkuu? Mimi ndio nilivyo sio mtu wa show-offs za FacebookHii coment itakupa demu humu. Ulete mrejesho.
Binadamu hatufanani ndio maana wapo wanaopenda Simba na wengine Yanga.Mzee hujakutana na vitu wewe.. Acha kujifariji!! Au mzee nyie ndo wale mnapita popote? Hapana!!
Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.
Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Hakika binadamu hatufanani mkuuSasa sindo hivyo Mkuu, uzuri upo kwenye jicho la muonaji! Na ndivyo hivyo, kwake ni zaidi ya alivyotegemea. Yaani kwa viwango vyake ni zaidi yaa!!ππππ
Leo mmekamatika. Muiteni dada yenu Wangari Maathai aje awasaidie. KkkkkKha mbombo πΉπΉ
ππππ Mwanamke wa kawaida umenichekesha mno....Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.
Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.
So there you are Mkuu K.Y.
Mimi sinaga complications katika relationships. Ambacho sitaki ni matusi, kejeli na kelele baaasBora hata na sie wabaya tumepata hope
Utajiju..
Umeweka maziwa kwenye sumu ili kuneutralize. Huyu jamaa ni mtu hatari tena kaja na ID mpya! Lazima mwishoni atamtaja huyo mrembo wa jf mwenye mikwara mingi wakati hana maajabu.Hahahahaaaa, kwanini mkuu? Mimi ndio nilivyo sio mtu wa show-offs za Facebook
Hakika!Hakika binadamu hatufanani mkuu
Fidjooo πΉπΉNdagha! πππ
(Nakutania)
Yote ya nini haya?Idiot.
Chief mbona unajifariji na kupotosha uhalisia ?wamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.