Warembo wa JF...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kabisaaah lol
 
Baharia umechomoa betri kwenye hilo la umama[emoji16]
 
Yaan ikiwaga hivi, hata mood ya kuonana na mtu inakata ghafla.
Duuuh yajayo yanaogopesha. Lol
Mnadate na watoto wa vyuo ndio maana wanawaumbua humu. Sisi wazee hamtutaki.
Sasa na sisi tunachochea kuni mtukanwe tu.
 
Mnadate na watoto wa vyuo ndio maana wanawaumbua humu. Sisi wazee hamtutaki.
Sasa na sisi tunachochea kuni mtukanwe tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watatukanwa hao wanao kutana nao, wengine sie tunaishia huku huku tyuuuh..
 
Ww mwnyw utakua km hamorapa alafu unawasema wadada wa watu,jaman wanawake hum mkomage kuonanaonana ovyo na watu wa humu jf
 
Aisee na yupo anasoma huu ujumbe hajakizi viwango jf bora uwe ghost tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kwa mwendo huu sitakubali kuonana na mtu humu walai. Ningekua pisi kali kweli, ngoja nitulie zangu mtaani
 
Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.

Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.

So there you are Mkuu K.Y.
Mwandiko wako nikiubadilisha kuwa sauti ni Kama mtu ninayemfahamu..kila ninapousoma naisikia Ile sauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…