cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan wawe wanafanya hivyo tyuuh.Hivi siku hizi mods wamecha kuunganisha ids? Kwanini wasitafute na id maarufu ya mtoa mada waunganishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wawe wanafanya hivyo tyuuh.Hivi siku hizi mods wamecha kuunganisha ids? Kwanini wasitafute na id maarufu ya mtoa mada waunganishe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kabisaaah lolSasa all that for what?
What are you hiding from?
Mi nitabakigi Karucee huyu huyu. If I make sense fresh, if I don't bangi zishanibangua fresh tu... I will just be me.
Lol. [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Duuh kumbe? Shida zote hizo za nini sasa?Ukiwa na device moja rahisi kudakwa na mods. Ila kama mtu ana simu janja mbili na laptop moja hapo kila device itakuwana id yake ya jf.
Wengine hatupo hivyo bhana.Yaan ikiwaga hivi, hata mood ya kuonana na mtu inakata ghafla.
Duuuh yajayo yanaogopesha. Lol
Nimecheka sana kwamba huo ni umama[emoji23]Ila mkuu unawakosea sana hao waliokuheshimu hadi mkaonana si vizuri kusema mtu na huenda na wewe mwenyewe wala hawakupendezwa na wewe basi tu. Kwani ukikakusha unapungukiwa damu? Uliofanya huo ni umama[emoji57][emoji57]
Baharia umechomoa betri kwenye hilo la umama[emoji16]Upo sahihi kabisa kwa hoja zako..
1. Nimewakosea
2. Waliniheshimu
3. Pengine pia hawakupendezwa nami
4. Ningeweza kukausha
5. Hii ya Umama hapana, haupo sahihi[emoji4]
Nimekuja tu kuchangamsha jukwaa ndugu zanguni; japo ujumbe umefika..
Kama unaona qualities zako ni 50-50 baki tu kitaa mazee..[emoji848][emoji848].. Ngoja niwaharibie wengine mliopo kwenye pipeline
Sasa unadhan kuna kuaminiana tena? Mmmmmh hapan kwa kweli.Wengine hatupo hivyo bhana.
Dah hii Karunguyeye ishatukosesha wachuchu aisee.
Mnadate na watoto wa vyuo ndio maana wanawaumbua humu. Sisi wazee hamtutaki.Yaan ikiwaga hivi, hata mood ya kuonana na mtu inakata ghafla.
Duuuh yajayo yanaogopesha. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watatukanwa hao wanao kutana nao, wengine sie tunaishia huku huku tyuuuh..Mnadate na watoto wa vyuo ndio maana wanawaumbua humu. Sisi wazee hamtutaki.
Sasa na sisi tunachochea kuni mtukanwe tu.
Ha ha haMie na udangaji wangu wote huu, sijawahi kuonana na mwana jf yeyote.
Aisee na yupo anasoma huu ujumbe hajakizi viwango jf bora uwe ghost tuUkweli ni kwamba nimetamani nipate mmoja wa humu.. Ukweli kabisa.. Sijabahatika.. Wale nimekutana nao hapana aisee!!
Huyo mmoja amenipigisha story zote mzee kama simsikii.. Story za kimasihara na nyinginezo zote nilizikazia.. Kama three month ago!
Nikibahatika mmoja nitatulia naye huyo[emoji4]
mtusamehe😎😎Mnadate na watoto wa vyuo ndio maana wanawaumbua humu. Sisi wazee hamtutaki.
Sasa na sisi tunachochea kuni mtukanwe tu.
Mwandiko wako nikiubadilisha kuwa sauti ni Kama mtu ninayemfahamu..kila ninapousoma naisikia Ile sautiAfu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.
Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.
So there you are Mkuu K.Y.
Mimi naomba nionane na wewe bibie financial servicesAargh we kubali tu uzi wako umezingua bana, eti hadi ana chunusi hivi mwenye chunusi si atakua ameelewa ni yeye ndiye aliyeonana na wewe kichwa maji umekuja kumsema humu. Nyie ndo Mnafanya tuwe wazitoo hata kuonana na watu potential kwa utoto kama huu[emoji57]
[emoji134][emoji134][emoji134]!!Tena ni mimi hapa mkuu maana ndiyo naenda pm mapemaa[emoji3][emoji3]he's such a gentleman