Warembo wa JF...

Warembo wa JF...

Its very true, but a freand meet one here,she infact wrote to that person asking for a job favour in the company the guy owns, but the guy was very very smart, he tracked her calls using never mind what technology, and he discovered the lay was a tiss operative who wanted to know the company so that they will go and demand money using fake tax claims, it was during jiwes time you all know that was the game then,when this my freand told me so i knew here there are tiss agents pretending to lok for love, or work or such, take care
Utanisamehe mkuu, lakini lazma nicheke... 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Acha wakose tu, watu wa kitaa wanatuelewa hawatunangi
Namuombea msamaha mleta uzi. Alikamuliwa vya kutosha na huyo dada, yaani katuma nauli ya Uber, kanunue Hennessey, mikuku n.k halafu dada kufika kumbe ni wa kawaida hata bibi Kiroboto mzuri kkkkkkkkk
 
Salaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..

Ni vema tuwe real tu kwakweli.

BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!

Wewe mheshimiwa unakautoto, kauvulana AMA la una psychology problem.

1. Uzuri wa mtu mwanamke/mwanaume ni macho na akili za mhitaji. Hata siku moja umpendaye wewe sio lazima tumpende wengine, mzuri kwangu sio lazima awe mzuri machoni pako.

2. Mambo ya kukutana kwenu nje ya jukwaa hili ni privacy zenu, zao. Ni kukosa ukomavu wa akili kuleta mambo yenu balazani/ jukwaani. Maana yake huna staha, heshima wala busara. Hii inashiria hata mambo yako ya ndani may be ukayapeleka mitandaooni Siku moja.

3. Uliokutana nao memba wa jukwaa hili ndio haohao unakutana nao mitaani, masokoni, mahotelini nk. Ni watanzania walewale either wapo JF, Facebook, Instagram etc either wapo mitaani na hawajajiunga na social media yoyote.

I. Hizi Tabia za kitoto au kivulana bora kuziacha

II. Heshimu waliokuheshimu wakaacha majukumu yao wakaja kukutana/kusalimiana/kubadilishana mawazo nawewe.

III. Mtu yeyote unapokutana Naye sio lazima uanzishe mahusiano, sio lazima akupendeze machoni pako nasio lazima akukubali...... akiringa, akikataa, akisita akinata ...... achana Naye, mpe uhuru wake, usimsimange kwa lolote.... rangi, uzuri, ubaya, maringo, ujuwaji nk. Hataki mwache yawezekana anawake ndio demokrasia yenyewe.

IV. Kupanga nikuchagua. Usijioneshe kujua ya ubora na ubaya wa wengine.... hata wewe unakasoro zako. No one is perfect

Mambo ya faraghani yabakie hukohuko.

Tuheshimu utu wa mtu.... mwaume/mwanamke na faragha zake.

Tusifedheheshane kwa vitu vidogovidogo visivo na msingi wowote kimantiki na kimaadili.

Ukijiheshimu utaheshimika, ukidharau wengine nao watakudharau.
 
Namuombea msamaha mleta uzi. Alikamuliwa vya kutosha na huyo dada, yaani katuma nauli ya Uber, kanunue Hennessey, mikuku n.k halafu dada kufika kumbe ni wa kawaida hata bibi Kiroboto mzuri kkkkkkkkk
😄😄😄 Nacheka kama mazuri, ndo mana sitak mambo ya kutumiana nauli. Ukipata emergency ishakua balaa unaonekana ulipanga kuila
 
😄😄😄 Nacheka kama mazuri, ndo mana sitak mambo ya kutumiana nauli. Ukipata emergency ishakua balaa unaonekana ulipanga kuila
Ni utoto tu

Watu wa aina hii wapo popote, sio Jf tu popote pale

Ni Tabia, na huwezi elewa Tabia ya mtu kirahisi.
 
Huyo unaemfahamu ni wa wapi?
Ni jirani yangu,binti mrembo maji ya kunde hivi..siku nikikosa nauli ya daladala au nikichelewa kuamka ananipaga sn lift kwenye IST yake kwenda mjini kwenye mishe zangu za kutafuta mkate wa siku

Akiongea sauti yake ina swagga km mwandiko wako na ni mwanajf lkn sijataka kumletea shobo kujifanya namjua sana au nijionyeshe nami ni mwanajf km yeye
 
Back
Top Bottom