Warembo wa Kiarabu, wanapatikana wapi?

Warembo wa Kiarabu, wanapatikana wapi?

Nenda sikonge tabora
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-225021.png
    Screenshot_20220628-225021.png
    118.2 KB · Views: 169
Nimejaribu kuzunguka mtaa kwa mtaa, zaidi ya miezi 3, ili nipate mchepuko wa kiarabu; lakini bado sijafanikiwa.

Naimani, nikipata mrembo wa umbo namba 8, wa Kiarabu; akili yangu itatulia na kufanya mambo mengi ya msingi.

Wakuu, wanapatikana wapi hawa warembo wa Kiarabu?
Waarabu ama na wapemba?
 
Nimejaribu kuzunguka mtaa kwa mtaa, zaidi ya miezi 3, ili nipate mchepuko wa kiarabu; lakini bado sijafanikiwa.

Naimani, nikipata mrembo wa umbo namba 8, wa Kiarabu; akili yangu itatulia na kufanya mambo mengi ya msingi.

Wakuu, wanapatikana wapi hawa warembo wa Kiarabu?
We umepotea njia ,hivi dunia ya Sasa hivi watu bado tu mnahangaikaga na waarabu...pole Yako,utakujaga kubeba na waarabu walioshindikana ,mwisho watoto Wana inherit tabia za ajabu ajabu
 
Utawaweza ?

Mboga 7 wale,

Na sio ulete Habari zako na mboga moja Eti wali maharagwe au ugali dagaa !


Na wageni kama wote na wakija wanatakiwa kula vitoweo vya kila aina [emoji108][emoji108]

Hawaelewagi lugha za kuluzu wale!

Kwa hiyo ujipange !


Uchumi wako usiwe wa mawazo na mashaka
 
Back
Top Bottom