Warembo wa Kiarabu, wanapatikana wapi?

Warembo wa Kiarabu, wanapatikana wapi?

Kwani ukifanya hivyo ndo maisha yanarefuka au maisha mafupi haujui inatumika wapi
Fanya jaribio moja, tafuta mwanamke mmoja na mwanaume mmoja, wapeleke wakaishi kwenye eneo la ekari 50, na wawe wanaonana wao tu; baada ya wiki moja kawatembelee, kama hujakuta walishabaiolojiana.
 
Halafu unavojikutaga baba paroko eti "achana na wanawake tafuta hela" kumbe nawe msaka mbususu muone.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nimeshangaa, ndo maana nimerudi juu kwenye uzi kuangalia mwanzilishi! Kukutana na equation X nimehuzunika sana! Hajawahi kuandika hivi, hata replies zake sio za hivi! [emoji17][emoji17]

Hii mada nikitakiwa niianzishe mimi!
 
Mbona wamejaa tele Magomeni na Kariako, ILa kama huna hela huwezi kupata hata deserts. Jaribu kwenda Tabora, Shinyanga, Tanga au Zanzbar. huko unaweza pata kiwepesi kama ni mlala hoi.
 
mada bila picha na video na batili bana.
220237000_368794598010831_7253735309370760462_n.jpg
 
Mbona wamejaa tele Magomeni na Kariako, ILa kama huna hela huwezi kupata hata deserts. Jaribu kwenda Tabora, Shinyanga, Tanga au Zanzbar. huko unaweza pata kiwepesi kama ni mlala hoi.
Duh mkitaja hayo maeneo tunawapataje
 
Back
Top Bottom