Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Ni bahati nzuri kwamba niliwahi kufanya kazi na hawa watoto wote wawili watoto watulivu sana hao na wote ni wake za watu na wana watoto kadhaa...Eliza ni mdada mpole msomi wa masters na Shamimu nae ni msomi wote wawili wamefanya kazi Mlimani Media wakati huo,Eliza alikuwa akifanya kipindi cha Afya,Shamimu alikuwa Mlimani Redio na akina Gervas et al ni watulivu sana hawa wadada na they're beautiful pia kichwani zimo. Safi sana wadada wa nguvu. Huyo Eliza ni mwandishi wa vitabu pia. Mnunue sio kumsifu tu.
Hivi sheria inasemaje kuhusu kuweka picha ya mtu mtandaoni bila ridhaa yake na kuanza kufanya discussion kuhusu personal matters dhidi yake.
Ooh alikuwa Mlimani, ooh ni mtoto wa Mramber, ooh kapanda hewani, ooh ni mke wa mtu, ooh kanenepa sana apunguze unene ...
Nonsense!
Lunatic!Yeye mwenyewe kaweka halafu isitoshe ni celeb hebu tuliza kinyeo
Sasa unamuuliza nani kuhusu hizo sheria zinazosema nini. Umekuwa judgemental bila kufahamu sheria zinasemaje. Kasome uje ulete pointi zako hapaHivi sheria inasemaje kuhusu kuweka picha ya mtu mtandaoni bila ridhaa yake na kuanza kufanya discussion kuhusu personal matters dhidi yake.
Ooh alikuwa Mlimani, ooh ni mtoto wa Mramber, ooh kapanda hewani, ooh ni mke wa mtu, ooh kanenepa sana apunguze unene ...
Nonsense!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hatar sanaYeye mwenyewe kaweka halafu isitoshe ni celeb hebu tuliza kinyeo
Ni bahati nzuri kwamba niliwahi kufanya kazi na hawa watoto wote wawili watoto watulivu sana hao na wote ni wake za watu na wana watoto kadhaa...Eliza ni mdada mpole msomi wa masters na Shamimu nae ni msomi wote wawili wamefanya kazi Mlimani Media wakati huo,Eliza alikuwa akifanya kipindi cha Afya,Shamimu alikuwa Mlimani Redio na akina Gervas et al ni watulivu sana hawa wadada na they're beautiful pia kichwani zimo. Safi sana wadada wa nguvu. Huyo Eliza ni mwandishi wa vitabu pia. Mnunue sio kumsifu tu.
Sawa lil ommy kwa kumsifia mke wakoNi bahati nzuri kwamba niliwahi kufanya kazi na hawa watoto wote wawili watoto watulivu sana hao na wote ni wake za watu na wana watoto kadhaa...Eliza ni mdada mpole msomi wa masters na Shamimu nae ni msomi wote wawili wamefanya kazi Mlimani Media wakati huo,Eliza alikuwa akifanya kipindi cha Afya,Shamimu alikuwa Mlimani Redio na akina Gervas et al ni watulivu sana hawa wadada na they're beautiful pia kichwani zimo. Safi sana wadada wa nguvu. Huyo Eliza ni mwandishi wa vitabu pia. Mnunue sio kumsifu tu.
Sawa.
Sawa. Tunaomba majina ya vitabu alivyoandika tafadhali ili tuweze kuvifuatiliahttps://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/Mwanamke-aliyechagua-kutumia-maandishi-kama-silaha/1597592-3195114-mu5rv1z/index.html
https://www.google.com/url?sa=t&so...OvVaw2-cf6gS8_erZ91sRCkRyqq Ingia hapo umsomeVitabu vyake vinahusu nini hasa au ni mtunzi wa riwaya ?
Huyo wa kwanza alikuwa Mlimani tv. Kifaa kweli kweli halafu kidogo kapanda hewani.
Mungu [emoji62] kwa weli
Ni mtoto wa waziri mstaafu mramba?
AiseCha upole umeharibu, ujue Eliza ana mume wake sio vizuri kuanika haya ... Hebu futa nakuomba hizo comment Mtende
TBC ya kizazi kipyaSiku hizi TBC inapendeza unapoangalia AridhioView attachment 1463814View attachment 1463816
Sawa, mrembo msalimie uncle najua anatembea nowOookay, i admit my mistakes
We ndo ulishika mapaja si eti. Can you prove this before a court of Laws
Dogo unavuka mipaka, yaani unampangia mtu mke wa kuoa? No wonder unampangia Hadi style za kutafuta watoto.Hapo lily ommy kaboronga Bora angeoa kifaa hicho Cha kwanza ndio ingekuwa poa.