Warembo wa TBC

Warembo wa TBC

Ni bahati nzuri kwamba niliwahi kufanya kazi na hawa watoto wote wawili watoto watulivu sana hao na wote ni wake za watu na wana watoto kadhaa...Eliza ni mdada mpole msomi wa masters na Shamimu nae ni msomi wote wawili wamefanya kazi Mlimani Media wakati huo,Eliza alikuwa akifanya kipindi cha Afya,Shamimu alikuwa Mlimani Redio na akina Gervas et al ni watulivu sana hawa wadada na they're beautiful pia kichwani zimo. Safi sana wadada wa nguvu. Huyo Eliza ni mwandishi wa vitabu pia. Mnunue sio kumsifu tu.
Shamim Mlacha ni mke wa Lil Omy
 
Sasa huyo wa kwanza hapo juu na mkitambi wote huo eti mrembo. Mfyuuuuuuuuu
 
Weka Na Warembo Kama Anna Mwasyoke Na Jen John
Hawa hapa mkuu Nyakyusa brand
FB_IMG_1590907137120.jpg
FB_IMG_1590906866962.jpg
 
Hivi unamjua shamim vizuri kweli?
Tatizo lenu wasukuma mkion rangi nyeupe mnachanganyikiwa
Embu tutue wasukuma huko, we own this nchi.
Kila idara siku hizi tumejaa, wanawake weupe tumeoa sana sasa hivi tuna-product zetu wenyewe hatutoi nje.

Unamjua Upendo Peneza, kwanza wanawake wetu wako blessed na maumbo makubwa vishundu kule maguu ya bia tunayo gender zote.

Kajala Masanja unamuonaje
 
Back
Top Bottom