Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Chanzo cha haya yote, ni kutaka kutushawishi sisi wanaume. Kweli mwanamke bila mwanaume hajakamilika.
Tazama...
Tazama...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mkuu, si unajua maisha ya mjini watu wanasaka mawe tuHyo saluni mda mwngne naona kama soko hivi 😁😁
Ndio hivyo mkuu, kama fursa ipo ni kuitumia tuMkuu ndo muda wetu wa kupga pesaaa
Soon tunakuja na jambo jingineee la kuchukua hela zao kwa wing
Kwa asili yao; kila mmoja anataka aonekane ni mzuri kuliko mwingineMwanamke mara nyingi anahisi hajapendwa vizuri ndio maana anajifanyia marekebisho ya urembo
Inahitaji ujasiri kuepuka kishawishi.Mmmh aseee!.
Sasa huyo kijana wa kiume anayefanya hizo massage hapo
sielewi !.
Fursa za helaInahitaji ujasiri kuepuka kishawishi.
Akili ya mtu hiyo mbona wengine wako normalWanaume nyinyi ndiyo chanzo. Mnawawehusha watoto wa watu, waende Uturuki, India kwenda kutengeneza shepu. Wasiomudu hizo gharama ndiyo wanavaa vigodoro.
Bila nyinyi hasa kizazi hiki, hizi hekaheka zisingekuwepo.
But basha wa huyo binti yupo hapo pembeni na ndiye anapiga sinema hiyo otherwise ingekuwa ni chobingo (secret) lazima kijana angeomba kidogo!.Inahitaji ujasiri kuepuka kishawishi.
Mjomba huyo ni mrembo kazi unayo kazana kuomba munguChanzo cha haya yote, ni kutaka kutushawishi sisi wanaume. Kweli mwanamke bila mwanaume hajakamilika.
Tazama...
Ninyi tu ndo hamjiamin.Wanaume nyinyi ndiyo chanzo. Mnawawehusha watoto wa watu, waende Uturuki, India kwenda kutengeneza shepu. Wasiomudu hizo gharama ndiyo wanavaa vigodoro.
Bila nyinyi hasa kizazi hiki, hizi hekaheka zisingekuwepo.
Nilikua sijui hii,kumbe? Samahani,.Mmmmh jamani hapo ndo anamfanyaje sasa? Anamtengeneza kiuno? Si avae tu shanga kiuno kitakuja chenyewe?