fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Hahahahah kabsa chiefInawezekana mkuu, si unajua maisha ya mjini watu wanasaka mawe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah kabsa chiefInawezekana mkuu, si unajua maisha ya mjini watu wanasaka mawe tu
Zile nyingi kama 8 au 9 hivi.kuna zile zinafungwa tatu tatu zinaunganishwa ukihesabu kimoja kimoja viko 9 ndo vizuri.kamoja hakawezi weka ule mtari wa kiuno. Ukiivaa mwaka mzima lazima pajitengeneze penyewe.Nilikua sijui hii,kumbe? Samahani,.
Inavaliwa moja au ziwe nyingi nyingi?
Alright,nimekupata,[emoji120]Shukrani sana luckyline..Zile nyingi kama 8 au 9 hivi.kuna zile zinafungwa tatu tatu zinaunganishwa ukihesabu kimoja kimoja viko 9 ndo vizuri.kamoja hakawezi weka ule mtari wa kiuno. Ukiivaa mwaka mzima lazima pajitengeneze penyewe.
Zivae muda wote. Za kisasa ni nzuri hata uoge nazo hazikatiki oga nazo lala nazo
Kiuno kitakujaje chenyewe kwa kuvaa shanga?Mmmmh jamani hapo ndo anamfanyaje sasa? Anamtengeneza kiuno? Si avae tu shanga kiuno kitakuja chenyewe?