Warembo wanatumia karibia mwezi mzima kuenzi siku yao. Huu muda wote wakumbushane usawa wanaoutaka wautumie pia kuchangia katika matumizi equally

Warembo wanatumia karibia mwezi mzima kuenzi siku yao. Huu muda wote wakumbushane usawa wanaoutaka wautumie pia kuchangia katika matumizi equally

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kama umeajiriwa/umejiajiri haina haja ya kumpiga vibuti bwana yako kila mara.

Kama umeajiriwa/umejiajiri toa kwa moyo na jitihada as much as bwana yako anavyozitoaga ili kukidhi bills na costs.

Kama bwana yako hana kwa muda huo, fanyeni usawa wa kumvumilia ukata wake na sio kumdharau na kumkimbilia bwana mwenye nacho.

Tofauti na kufanya haya (which am sure wengi wenu hamuwezi fanya), bado mtaendelea ku-prove point kuwa hamuwezi fanya chochote bila wanaume na superiority yake.
 
Yaani hapa nasikiliza wimbo mmoja tu siku nzima
D voice ft mbosso; tunapendana
Nyie endeleeni kuteseka na hayo mapenzi
 
Back
Top Bottom