Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.

Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.

But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuahidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.

Kama kinapanda soma hapo chini👇🏾;
20220417_115349.jpg
 
Ni rahisi tu....huyu Danga.

Ajali ilimtokea kazini.

They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.

I guarantee you... if she was a Tanzanian complaining on any Kenyan or South African hotel. w
We wouldn't have all this drama.....

Fellow Tanzanians would be the once insulting and naming her....
 
Mlinzi anadai kuwa alikaribishwa na Zainab. Lakini hamna ushahidi kama hii ni kweli. Ni kawaida ya mtu anaeshutumiwa na kosa kama hili kumgeuzia kibao mwanamke kwa kusema ndie aliyeanza kumtaka.

Lakini vile vile hoja ya Zainab kuwa jamaa aliyekuwa amekusudia kumbaka alikubali kwenda kutafuta kondomi ili aje ambake kwa usalama na yenyewe haijakaa vizuri.

Tatizo ni kuwa hawa ndugu zetu wa Nigeria wana sifa ya usanii. Binafsi sishangai kuwa Zainab alitaka mshiko ( haijathibitishwa) ili akae kimya. Ni tabia inayoendana na baadhi yao.

Huyu mlinzi anastahili adhabu hata kama alikaribishwa kwa kosa la kutoka kwenye lindo lake na kuanzisha uhusiano na wateja wa hoteli.

Amandla...
 
Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.

Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Nadhani wamesema sio mfanyakazi wao. Na kwa maelezo yao walimshauri Zainab amfungulie mashtaka yeye, kampuni iliyomuajiri na ikibidi hata hoteli.

Zainab akakataa (labda kwa kutambua kuwa itakuwa usumbufu hasa ukizingatia kuwa haishi Tanzania) akadai alipwe tu pesa.

Amandla...
 
Mlinzi anadai kuwa alikaribishwa na Zainab. Lakini hamna ushahidi kama hii ni kweli. Ni kawaida ya mtu anaeshutumiwa na kosa kama hili kumgeuzia kibao mwanamke kwa kusema ndie aliyeanza kumtaka. Lakini vile vile hoja ya Zainab kuwa jamaa aliyekuwa amekusudia kumbaka alikubali kwenda kutafuta kondomi ili aje ambake kwa usalama na yenyewe haijakaa vizuri. Tatizo ni kuwa hawa ndugu zetu wa Nigeria wana sifa ya usanii. Binafsi sishangai kuwa Zainab alitaka mshiko ( haijathibitishwa) ili akae kimya. Ni tabia inayoendana na baadhi yao.
Huyu mlinzi anastahili adhabu hata kama alikaribishwa kwa kosa la kutoka kwenye lindo lake na kuanzisha uhusiano na wateja wa hoteli.

Amandla...

Hawa wadada wapo kikundi wanafanya huo utapeli.
 
Ni rahisi tu....huyu Danga....

Ajali ilimtokea kazini.


They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.

I guarantee you... if she was a Tanzanian complaining on any Kenyan or South African hotel. w
We wouldn't have all this drama.....

Fellow Tanzanians would be the once insulting and naming her....

Hao wapo kikundi wanafanya hivyo, wapo wengi nenda twitter kajionee.
 
Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.

Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.

But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.

Kama kinapanda soma hapo chini[emoji1484];
View attachment 2190611
Kwanza waNigeria ni matapeli, yamkini alijua anachotaka kufanya
 
Mlinzi anadai kuwa alikaribishwa na Zainab. Lakini hamna ushahidi kama hii ni kweli. Ni kawaida ya mtu anaeshutumiwa na kosa kama hili kumgeuzia kibao mwanamke kwa kusema ndie aliyeanza kumtaka. Lakini vile vile hoja ya Zainab kuwa jamaa aliyekuwa amekusudia kumbaka alikubali kwenda kutafuta kondomi ili aje ambake kwa usalama na yenyewe haijakaa vizuri. Tatizo ni kuwa hawa ndugu zetu wa Nigeria wana sifa ya usanii. Binafsi sishangai kuwa Zainab alitaka mshiko ( haijathibitishwa) ili akae kimya. Ni tabia inayoendana na baadhi yao.
Huyu mlinzi anastahili adhabu hata kama alikaribishwa kwa kosa la kutoka kwenye lindo lake na kuanzisha uhusiano na wateja wa hoteli.

Amandla...
Kwa sisi ambao kila siku tunafanya hizi mambo. Kusikiliza pande zote mbili na kufanya deliberations.
Huyo binti ni muongo and huyo Security person anaongea ukweli.
  1. Aliwezaje kujua chumba Cha huyo mgeni.
  2. Huyo mlinzi alipata wapi ujasiri wa ku risk kibarua chake ili tu akambake huyo dada.
  3. Wote mlinzi na mgeni wanakiri kulitokea issue ya kutakiwa kufata Kondomu. Ni mbakaji yupi au mwizi yupi anaweza kukubali hili. Kwamba uende utafute kondomu and then unayetaka kumbaka/kimuibia utamkuta.
  4. Mwisho, Wanaijeria ni watu wanafahamika kwa utapeli. Unaweza kuona alikuwa ana demand kilipwa Tsh 23M. Ukitazama kwa makini unaona ni jambo alilipanga na may be siyo mara yake ya kwanza kufanya hivo. Akijua atafanya intimidation ili wampoze.
 
Back
Top Bottom