Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Nadhani wamesema sio mfanyakazi wao. Na kwa maelezo yao walimshauri Zainab amfungulie mashtaka yeye, kampuni iliyomuajiri na ikibidi hata hoteli. Zainab akakataa ( labda kwa kutambua kuwa itakuwa usumbufu hasa ukizingatia kuwa haishi Tanzania) akadai alipwe tu pesa.

Amandla...
Alikataa kwa kua hana ushahidi.

Mahakamani asingeweza kushinda kwa kua hana ushahidi wa kikicho tokea ndani. Ushahidi wote ni wa baada ya tukio ambao haujastify kua kweli tukio lilikuepo ukiachia mbali nani kafanya hili tukio.
 
Which Tanzanians are inferior?Did you read, hear, check all the evidence put forward by the lady? Would you have the same opinion had it been your sister, mother, daughter?
This issue has been collaborated by the hotel, police, Russians that she took refuge to.The responsible organs need to come out and give out answers.
Come down Mzee... You need an extra [emoji102] to see what is outside the box.

Perhaps, you don't know what Nigerian chick travellers are up to....who the hell sends if not advices rapist to go and collect condoms meanwhile she is gathering pictures....

Of which they will be used as evidence when the rapist finds condoms and decides to rape her.....


Are you crazy...ukiwa unambaka mdada akakuambia nenda kachukue kondomu Kisha uje unibake na wewe unanyanyuka taratibu eti kutafuta condom uje ubake [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Alikataa kwa kua hana ushahidi.

Mahakamani asingeweza kushinda kwa kua hana ushahidi wa kikicho tokea ndani. Ushahidi wote ni wa baada ya tukio ambao haujastify kua kweli tukio lilikuepo ukiachia mbali nani kafanya hili tukio.
This is organized crime, yaani wameangalia Royal Tour inazinduliwa. Ila plan yao imefeli kabisa. Watanzania hatuna ujasiri wa kufanya unyama wa hivyo. Nadhani next time hakuna kukaribisha Mgeni toka Nijeria
Tuwakaribishe ila hoteli zetu ambazo hazina CCTV waziweke
 
Inawezekana aliitwa chumbani apewe zawadi akakutana na kutaka kubakwa ndio maana akakimbia na Mnigeria akaona sasa mambo yameharibika ngoja niwaharibie.
 
Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.

Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.

But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.

Kama kinapanda soma hapo chini[emoji1484];
View attachment 2190611
No work ethics?

Mfanyakazi kufanya ngono na Mgeni?

Hii Hotel nayo wanapuyanga.
 
Tuwakaribishe ila hoteli zetu ambazo hazina CCTV waziweke

Hamna kuwakaribisha hao watu wanaogopewa dunia nzima kwa wizi,ulaghai,uongo hata Kwenye madanguro ya kuwapeleka waAfrica nje kujiuza wao ndio wanayoyaendesha,,,anyways Zanzibar tourism inabid iwaangalie sana hawa watu!!!No visa kwa wanigeria mpaka Hii ishu iwe sort out wamechafua sana Zanzibar kwa tukio la mtu mmoja!
 
Sijawahi kufika Zanzibar sijui hotel zao zipoje ila Hii ishu toka mwanzo sikuiamini hawa wanigeria nasisitiza sijawahi waamini na sijui kama ntakuja kuwaamini,I d rather kuwa na friend Mkenya than Nigerian I’m sorry siwez most of these Nigerians are really bad,,,haya upande wa pili wa story ushatoka sasa!Huyo dada aitwe achunguzwe
 
Back
Top Bottom