Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Demu mwizi tu huyoCase closed.
Tukio limefanyika April 2021...kwanini leo?
RB no na Case no huko polisi April 21 viko wapi?.
Taarifa hizi alipeleka ubalozi wa Nigeria April 21?
Wakati wa tukio alipiga kelele.?
Kwanini mhudumu alifuata Condom na wote wanakubaliana katika hili?.