Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Alikataa kwa kua hana ushahidi.

Mahakamani asingeweza kushinda kwa kua hana ushahidi wa kikicho tokea ndani. Ushahidi wote ni wa baada ya tukio ambao haujastify kua kweli tukio lilikuepo ukiachia mbali nani kafanya hili tukio.
Yeye halazimiki kuwa na ushahidi. Uchunguzi wa polisi ndio ungethibitisha nani mkweli. Na kesi hii ni criminal na ilitakiwa ibebwe na Jamhuri. Na ingethibitishwa kuwa kasema uongo, panga lingemuangukia.

Amandla...
 
Tamko hayo unayosema wewe huna uhakika nayo Serikali imetoa tamko kaa kimya subiria uchunguzi usibaki unahisi hisi kitu wakati hakuna hata mmoja humu alikuwa kwenye tukio View attachment 2190669
Haya ndiyo mambo sasa....hatua kama hizi ni muhimu sana....hoteli ichunguzwe kwanini wanawaruhusu watumishi kuwa na mazoea ya hovyo na wageni
 
Kwanza waNigeria ni matapeli, yamkini alijua anachotaka kufanya
Yes, hebu fuatilia footage zote yaani ni kwamba alijipanga each second past, angalia hii kitu hapa ...
20220417_124602.jpg
 
Tamko hayo unayosema wewe huna uhakika nayo Serikali imetoa tamko kaa kimya subiria uchunguzi usibaki unahisi hisi kitu wakati hakuna hata mmoja humu alikuwa kwenye tukio View attachment 2190669
Uache upumbafu wakati mwingine, nionyeshe nilipoandika "NADHANI" alafu aliyetoa tamko ni mimi au hotel, unakurupuka kutoka toilet unavamia andiko pasi kutulia.
 
Hili sakata nimelifuatilia huko Twitter naona kuna raia wameshaweka majibu yao....ukipingana nao wanakushushia matusi na kukuita kila aina ya majina haramu. Ni ngumu sana kujua ukweli kutoka kwenye mambo ya mtandaoni, muda ndio utatoa hukumu ya kweli.
 
No work ethics?
Mfanyakazi kufanya ngono na Mgeni?
Hii Hotel nayo wanapuyanga.
Hakuna hotel inayoajili mlinzi mkuu, asilimia kubwa walinzi wengi ni kutoka makampuni nabhata huyo mlinzi alisha_sign out.

But wadau wa utalii issue ya kucheat na wageni ni kitu cha kawaida sana, ukienda chuga vijana wengi wame_win life kutokana na mahusiano na wageni.

Wawe wapaganzi, tour guide, hotel staff au drivers wote huwa wanapania dodo limdondokee akiwa na mgeni.
 
Back
Top Bottom