Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwa hiyo Zainab alijinasua kwa kumwambia nenda katafute mpira?
Yaani mbakaji unamtuma condom Mbona haijakaa sawa hii
Yaani mbakaji unamtuma condom Mbona haijakaa sawa hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama demu mwenyewe ndio huyu msiumize vichwa vyenu bure
Rate zake google zilikua 4.2k baada habari kutoka rates zimeshuka hadi 1.4k kwa muda mfupi.Nadhani Zanzibar wako too soft na masuala ya work ethics...
Sisi hata tuwatete vipi Hii hotel imekwisha chafuka, bahati mbaya wanaoenda kwenye hoteli za kitalii wanaangalia Maoni ya waliokuwepo, so kama Wanaigeria wakiungana kuirate vibaya Biashara itapata hasara
Tuliza tako dogo subiri Mamlaka ifanye kazi yake haukuwa eneo la tukio tuliaUache upumbafu wakati mwingine, nionyeshe nilipoandika "NADHANI" alafu aliyetoa tamko ni mimi au hotel, unakurupuka kutoka toilet unavamia andiko pasi kutulia.
Ugumu uko wapi? Mfanyakazi aliajiriwa kufanya kazi au ngono, na je anataka kazi au ngono?Mgeni kufanya ngono na mtumishi ni kitu kigumu kuzuia
They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.
Huwezi kusema siyo mfanyakazi wako wakati umeweka trust kwake ya kulinda mali zako. Kama ni contracted security company wakifanya makosa ya kumkera mgeni lazima uwajibike.Nadhani wamesema sio mfanyakazi wao. Na kwa maelezo yao walimshauri Zainab amfungulie mashtaka yeye, kampuni iliyomuajiri na ikibidi hata hoteli.
Zainab akakataa ( labda kwa kutambua kuwa itakuwa usumbufu hasa ukizingatia kuwa haishi Tanzania) akadai alipwe tu pesa.
Amandla...
Kwa kutazama fursa ndio wenyewe, hata mtu yuko tayari kufanya kitu ridiculous..Zainab is pure "Mpopo"...
usalama wa mgeni hotelini ni wajibu wa nani? ni wajibu wa hotel sio kazi ya mgeni kudeal na mlinzi, pumbavu hotel gani haina usalama usiku, haina full time receptionist, haina standby room service, reception ni twenty 4 hours bila ungese, hapa hiii hotel ni ya kipumbavu sanaMkuu kama umesoma walichosema hotel owner, kuna sehemu walimshauri huyo binti akaishitaki kampuni ya huyo mlinzi au hotel, binti kagoma.
But mlinzi siyo wa hotel na alikuwa amesha_sing off, hotel nyingi utoa tender kwa kampuni ambayo usambaza watu/security guard maeneo tofauti.
hii ndio akili ya maamlaka zinazojielewa, be humble , show concern and settle the matter mutually kudos mamlaka hii ya zanzibarTamko hayo unayosema wewe huna uhakika nayo Serikali imetoa tamko kaa kimya subiria uchunguzi usibaki unahisi hisi kitu wakati hakuna hata mmoja humu alikuwa kwenye tukio View attachment 2190669