Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Nadhani wamesema sio mfanyakazi wao. Na kwa maelezo yao walimshauri Zainab amfungulie mashtaka yeye, kampuni iliyomuajiri na ikibidi hata hoteli.

Zainab akakataa ( labda kwa kutambua kuwa itakuwa usumbufu hasa ukizingatia kuwa haishi Tanzania) akadai alipwe tu pesa.

Amandla...
Alilipwa hicho kiasi alichotaka?
 
Ni rahisi tu....huyu Danga.

Ajali ilimtokea kazini.

They are taking advantage of Tanzanians who are inferior.

I guarantee you... if she was a Tanzanian complaining on any Kenyan or South African hotel. w
We wouldn't have all this drama.....

Fellow Tanzanians would be the once insulting and naming her....
Majambazi wa Naijeria hao
 
Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.

Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.

But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuahidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.

Kama kinapanda soma hapo chini👇🏾;
View attachment 2190611
Not a message to trust from a reputable hotel at all, you cant say it so simply that there was a sex agreement between the security personnel and Mis. Zainab, this is totally immoral from the image point of view and line of duties from the security person, the hotel on this ground has to bear all the blames, shame on these pusies of this hotel. they are now clearly naked Warere is equivalent to a slum located guest houses.

Ruin/ damage of the holiday to Mis. Zainab should be dealt with
 
Na nchi inavyofunguliwa huyo mlinzi asubiri ghadhabu na hasira plus kutolewa mfano, this has happened in the worse time for him..., huenda Madam President wakati ana-launch her premier ashapiga simu na kuuliza huyo kiumbe kama yupo mtaani...

Na huyu binti nadhani ameona the timing wouldn't have been more perfect than this time...

Instead ya kuongelea "This is a Female Lion" tunaongelea Security ya watalii..., na wakikumbushia na issue zile za tindikali this issue needs to be handled delicately...
 
🙆‍♀️Huyo ni jambazi tapeli la kimataifa.

🙆‍♀️ Ukiangalia video aliyokuwa anaitengeneza kituo cha polisi alikuwa anawa provoke makusudi maaskari kwa kuwapandisha jazba ili lengo lake litimie

🙆‍♀️Hata alivyokuwa anaambiwa kuwa kuchukua video kituo cha polisi ni makosa yeye kwa ukaidi akawa anaendelea ku shout .Sijui kwamba kwao Nigeria vituo vya polisi sehemu zenye security installations angeweza kufanya hivyo au alituona wango kuwa hatujui?

🙆‍♀️ Ogopa sana mtu ambaye anakwenda sehemu ya huduma ameandaa vifaa vya kurekodia, mara nyingi ili kupata habari iyoipanga atakuwa anatengeneza scenario za kulazimisha kama kukutengenezea jazba

🙆‍♀️ Ufike wakati sasa kwa watoa huduma maofisini ,serikalini na taasisi binafsi wawe wanarekodi video au audio za siri kwa wale wanaowahudumia. Kama video ya wazi ya madai ya hizo dola ingekuwepo tungemziba kidomodomo mapema

🙆‍♀️Hata hivyo kakanyaga pabaya wabongo wslivyowsshambenga kama ndio dili zake watakuwa wanamfuatilia mguu kwa mguu popote duniani hadi watamuumbua
 
Baada ya miaka mitano ijayo Niger wasipochukua hatua watakuwa raia wao wanapata tabu kuajiriwa nje ya nchi.
Wajinga sana hao jamaa kwanza wan ruin reputation yao balaa kabisa mfano tu Green Card lottery ile tayari US ameshazuia hao jamaa wasiingie kwake, Kuna Stores kibao online hazitumi mizigo Nigeria kwa upuuzi wao tu wakutoaminika
 
Not a message to trust from a reputable hotel at all, you cant say it so simply that there was a sex agreement between the security personnel and Mis. Zainab, this is totally immoral from the image point of view and line of duties from the security person, the hotel on this ground has to bear all the blames, shame on these pusies of this hotel. they are now clearly naked Warere is equivalent to a slum located guest houses.

Ruin/ damage of the holiday to Mis. Zainab should be dealt with
Hivi ukiandika kwa Kiswahili badala ya kutumia huu ugoko utapungukiwa na nini?
 
Back
Top Bottom