We nae kujifanya mwanasheria wa huyo mnageria!ndio Maana nchi zingine hawaruhusiwi kuingia na ubabaifu waoAnother stupid comment.
Tunazungumzia ethics za work place tena ya 4 star hotel.
Hayo mambo yanayofanyika huko Hotelini who cares.
Sisi huwa hatujambo kwa double standards.We nae kujifanya mwanasheria wa huyo mnageria!ndio Maana nchi zingine hawaruhusiwi kuingia na ubabaifu wao
Hana lolote yule utapeli wao unaeleweka..akafanye hayo mambo Miami yatamkuta yaliyomkuta HushpuppySisi huwa hatujambo kwa double standards.
Toka jana hotel watoe statement hawakuwa wameruhusu comments.
Hili hamkuliona?
Kwani hushpuppy naye alikuwa na case ya kubakwa.Hana lolote yule utapeli wao unaeleweka..akafanye hayo mambo Miami yatamkuta yaliyomkuta Hushpuppy
SawaAnother stupid comment.
Tunazungumzia ethics za work place tena ya 4 star hotel.
Hayo mambo yanayofanyika huko Hotelini who cares.
Watanzania tukiungana tunairudisha Tu, Mimi nishaanza na wewe ufate
Walipwe kina nani!Kwani hushpuppy naye alikuwa na case ya kubakwa.
Wenzetu ukiwafanyia hivyo wanastand kwenye facts, kama umezingua jiandae kuwalipa mpunga mrefu kwa kudefame brand yao.
Na kama kweli ulifanyiwa.na.ww unajiandaa kulipwa mpunga mrefu.
Sasa sisi tumeshachagua sides wakati kila sides ina holes zake.
Anafuata mkumbo tu.Huyu jamaa utadhani ana bifu na hiyo hotel.
Trump aliposema Africa tunajitaji miaka 50 ya kutawaliwa hii ilisababishwa na watu Kama Nyie msiojua maana ya Utaifa na uzalendo? Wenzetu Nigeria wanastand pamoja hata Ni uongo sisi Sasa kwa kupenda kupopoa vya kwetu!Kwani hushpuppy naye alikuwa na case ya kubakwa.
Wenzetu ukiwafanyia hivyo wanastand kwenye facts, kama umezingua jiandae kuwalipa mpunga mrefu kwa kudefame brand yao.
Na kama kweli ulifanyiwa.na.ww unajiandaa kulipwa mpunga mrefu.
Sasa sisi tumeshachagua sides wakati kila sides ina holes zake.
Kosa lake lipi hapa sasa huyu mlinzi kama mteja alifata ngono zanzbar.Mlinzi anadai kuwa alikaribishwa na Zainab. Lakini hamna ushahidi kama hii ni kweli. Ni kawaida ya mtu anaeshutumiwa na kosa kama hili kumgeuzia kibao mwanamke kwa kusema ndie aliyeanza kumtaka.
Lakini vile vile hoja ya Zainab kuwa jamaa aliyekuwa amekusudia kumbaka alikubali kwenda kutafuta kondomi ili aje ambake kwa usalama na yenyewe haijakaa vizuri.
Tatizo ni kuwa hawa ndugu zetu wa Nigeria wana sifa ya usanii. Binafsi sishangai kuwa Zainab alitaka mshiko ( haijathibitishwa) ili akae kimya. Ni tabia inayoendana na baadhi yao.
Huyu mlinzi anastahili adhabu hata kama alikaribishwa kwa kosa la kutoka kwenye lindo lake na kuanzisha uhusiano na wateja wa hoteli.
Amandla...
Sema wewe Kaka!Huyu jamaa sijui vipi?yupo busy kabisa kutetea mnaigeria asie wajua Nani kwa utapeli wao.Walipwe kina nani!
Unajua hata kijana aliyetumwa kuchukua kondomu alirudi akashangaa demu analalamika kabakwa....
Hii michezo ya wanijeria tunaijua.
KabisaaAnafuata mkumbo tu.
Huyu dada katengeneza hii scene hapo mlinzi wa watu Ni victim tu.Polisi waliona mlango haujavunjwa kwa hiyo alifunguliwa.na ninavyohisi mlinzi alikubaliana na akashangaa kaja bila zana.Mara nyingi tukiwa hotelin safari huwa tunapenda kupata wa kulala nae, so labda walikubaliana ila mlinzi kaja bila zana.
Tatizo hilo limesababishwa na mwenye hoteli kwa kutokua na masharti magumu kwa wafanyakazi kuhusu uhusiano na wateja kazini.Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.
Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.
But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuahidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.
Kama kinapanda soma hapo chini👇🏾;
View attachment 2190611
Yaani hii scene imetengenezwa na Ina director!kila kilichofanyika kilipangwa....hebu fikiria anadai alikutana na warusi wawili couple wakawa marafiki zake mchana,usiku anapoahangaika kutafuta msaada milango ya hotel yote ulikuwa imefungwa Ila kwa wale warusi akakuta pako wazi,swali linakuja kwa Nini warusi hawakufunga mlango saa nane za usiku?Ile Ni timu moja,pale walitaka kutengeneza ushahidi tu,kwa Nini aliwakimbia walinzi??Yaani hii case ingepata mpelelezi wa kimataifa na lawyer Kuna vitu vingefichuka.Angekuwa ni taifa jingine Dunia ingemuelewa na sio Nigerian, pili unapigaje picha kituo cha police kama sio dhamira ni kweli ilikuwa ni kuchafua apate pesa akijua wabongo ni waoga.