Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Me either!Me too.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me either!Me too.
Ha ha .Tangu lini mnigeria akawa mtalii
Uyo ni mdangaji tu
Kuna kipindi flani walikuja vijana wa kiniheria kibao kusaka nafasi za kicheza katika timu za ligi kuu Tanzania wengine walikuwa wanaishi Temeke
Nilikuwa na mawazo kama yako, hivi kwanini Wanaijeria watu wanapenda kuwaita wanaijer wakati ni watu wawili tofauti? Maana Niger ni taifa linalojitegemea, kuwaita Nigerian, Niger ni kulichafua taifa la Niger hasa yakizungumziwa mabaya yao.Niger ni tofauti na Naija/Nigeria..
Tusipotoshe bila kukusudia
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mtu hawezi kuingia kwenye chumba kikiwa kimefungwa... mbona hizi snerio zipo nyingi sana mitandaoni?Vipi Kama Zainabu na hao marafiki zake wa kirussia ilikuwa mbinu ya kumset mlinzi halafu usiku wamgeuke!Kuna maswali ya kukuuliza,huyu mbakaji aliingiaje chumbani wakati chumba kinafungwa?kwa Nini watu wa kwanza kuwakimbilia wawe wale Warusi anadai alikuta hawajafunga mlango,kwa Nini wasifunge mlango saa name ya usiku kulikuwa Kuna plan gani hapo?
Kwa nini aje Aseme baada ya karibia mwaka mzima?
Believe or not Kuna kitu hakiko sawa
Sasa hapa kati yako na mimi Nani ametumia akili.Tumia ubongo wako vizuri, ndugu. Hawa watu hawakuonana kwenye club ya muziki. Katika mazingira ya maadili ya kazi, mfanyakazi haruhusiwi kulala na wageni hoteli km ambavyo daktari haruhusiwi kulala na mgonjwa wake. Kitendo cha mlinzi kukubali kwenda kulala na mgeni chumbani ndio sababu ya haya yote. Kama asingekubali kwenda chumbani haya yote yasingetokea.
Utamu hauna siri.Utamu haujawahi kumuacha mla kimasihara salama.
Mtajijua Wenyewe watalii....usiniulize maswali Mimi wewe mwenye exposure ndio unieleze kwamba huko mnakoondaga kutalii huwa wafanyakazi hawafanyi mapenzi na wageni,vitasa so vya kuaminika na huwa Kuna CCTV camera.Mtu hawezi kuingia kwenye chumba kikiwa kimefungwa... mbona hizi snerio zipo nyingi sana mitandaoni?
Unadhani security za milango zipo high level kiasi hicho?
Maswali ya kujiuliza.
1. Tunategemea 4 star hotel iwe na CCTv camera. Right?
2. Kwenye Utetezi wa Warere Hotel wanasema Zainab aliahidi kuwachafua. Kwa maana hiyo walijua fika hili litatokea. Kwa maana hiyo walitakiwa kukusanya ushaidi wao kuanzia wa Cctv na mambo mengine na kuutunza. Na siyo kuja kwa maneno matupu kama walivyofanya sasa.
3. Work ethics za wapi zinaruhusu mfanyakazi kuwa na Sexual affair na mgeni? Kama wangeweza kulisimamia hili haya yote saiv yasingetokea.
You stand with Warere Hotel kwa mlinzi kuwa na Sexual Affair na mgeni?Nikiwa kama Google Local Guide Level 8 I stand with Warere Hotel. Twende tukafanye positive review, hizi ni ajira za wanetu
Siyo Mlinzi wa hiyo Hotel alikuwa anafanya nini hapo sasa?Kwa Mujibi wa maelezo huyo mlinzi sio Mlinzi wa hoteli hiyo
The good thing kwa maelezo yao ni kwamba walijua fika atawachafua.Hawa nao ni maandazi. Story kama hii unaunganisha na ushahidi, sio maneno tu. Weka paperwork kuanzia alivyoripoti kwao, kwenda polisi, na baadae huko kwa mkuu wa wilaya. Wangerekodi hata kisirisiri demands zake za hela. Walishakuwa threatened, kama hawakujipanga ipasavyo, wanastahili kuwa taken down.
Hapana, hebu soma Tena! RelaxYou stand with Warere Hotel kwa mlinzi kuwa na Sexual Affair na mgeni?
Hizo ni Work Ethics za Wapi?
Hiyo Hotel au Danguro?
Sawa we kwa akili zako si unaona ni sawa mtu kuacha lindo na kwenda kufanya mapenzi tena eneo la kazi?Mtajijua Wenyewe watalii....usiniulize maswali Mimi wewe mwenye exposure ndio unieleze kwamba huko mnakoondaga kutalii huwa wafanyakazi hawafanyi mapenzi na wageni,vitasa so vya kuaminika na huwa Kuna CCTV camera.
This is a dumb comment, unajaribu kusema tourism in a age limit? Hizo standards umetolea wapi?Haka Ni katapeli tu...katoto la miaka 23 kanazuruzura peke yake kanatafuta Nini?wanaigeria wanajulikana kwa mbinu zao
Anajiona kwa sababu yeye alikuwa bado Ng'ombe at 23 basi anadhani kila mtu anakuwa hivyo.This is a dumb comment, unajaribu kusema tourism in a age limit? Hizo standards umetolea wapi?
The good thing kwa maelezo yao ni kwamba walijua fika atawachafua.
Walishindwa nini kukusanya ushahidi wao vizuri na kuutunza kwa ajili ya siku atakapokuja kuwachafua?
Sahihi.Statement yao ime confirm kuwa iko shida Warere.True!
Usalama! Wafanyakazi hawapo professional, na hiyo statement Yao ndiyo imezidi kuwaonyesha hawako makini!
Wabadili jina na management else Kwa sasa biashara kwao kitumbua kimetumbukia michanga!
Vipi Kama Zainabu na hao marafiki zake wa kirussia ilikuwa mbinu ya kumset mlinzi halafu usiku wamgeuke!Kuna maswali ya kukuuliza,huyu mbakaji aliingiaje chumbani wakati chumba kinafungwa?kwa Nini watu wa kwanza kuwakimbilia wawe wale Warusi anadai alikuta hawajafunga mlango,kwa Nini wasifunge mlango saa name ya usiku kulikuwa Kuna plan gani hapo?
Kwa nini aje Aseme baada ya karibia mwaka mzima?
Believe or not Kuna kitu hakiko sawa
Hotel huwezi linganisha na hospital mkuu Mambo yanayofanyika huko ni laana ndio maana hao wenye hotel wamechukulia ni Jambo la kawaida mlinzi kutoa dozi Kwa mteja ikiwa amemaliza Muda wake WA kazi.Tumia ubongo wako vizuri, ndugu. Hawa watu hawakuonana kwenye club ya muziki. Katika mazingira ya maadili ya kazi, mfanyakazi haruhusiwi kulala na wageni hoteli km ambavyo daktari haruhusiwi kulala na mgonjwa wake. Kitendo cha mlinzi kukubali kwenda kulala na mgeni chumbani ndio sababu ya haya yote. Kama asingekubali kwenda chumbani haya yote yasingetokea.