babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Eti mtalii mnaijeria, mungu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe usiyetaka mwanaume atombe wanawake ulitaka mlinzi aje kukuparamia wewe?Hamna hotel hapo
Mlinzi anaacha lindo na kuanza kuzurura kwenye vyumba vya wateja kwa majukumu yasiyo ya kiulinzi kwenda kuparamia vifua vya wanawake iwe kwa ridhaa au bila ridhaa haiko sahihi
Mlinzi kakiri case closed. Hotel ya hovyo hiyo
Inabidi Bongo ibadilike, ianze kuwa treat Nigerians in a way ambayo wazulu wataonekana wasamaria kwao.Eti mtalii mnaijeria, mungu wangu
Mimi simuamini huyo Mnaineria hata kidogo,nimesoma maelezo ya pande zote mbili,huyo mnaigeria maelezo yake yana ukakasi sana.Tujiulize kwanini hili suala liamke wakati mama yupo nje kuzindua filamu ya kutangaza utalii ambayo tunategemea iwe game changer? tangu mwaka jana kwanini hili suala liamke sasa? Kuhusu Mlinzi kwenda kufanya mapenzi na mteja what if muda wake wa lindo ulikuwa umeisha? what if alikuwa ameshakabidhi zamu yake?....inawezekana tukawa tunachafuliwa makusudi kabisa na sisi wenyewe Watanzania tukashiriki kwenue uchafuzi wa nchi yetu kwa kutojua,hiyo hotel ya Zanzibar imechafuliwa sana,ratings zimeshuka mno,wanaigeria wameungana kuishusha,sisi tumegawanyika..Ni suala la muda tu hili suala kuchafua Zanzibar yetu na utalii.Sasa watanzania tulivyo fyatu ndio tutaikuza hii issue Kama Diamond na bendera ya Nini sijui!wanaigeria wenye dada Yao kimya watanzania sasa
Huyo msichana wa kinigeria yuko sahihi hotel usalama mbovu yaani Mlinzi anaacha lindo anaenda kuwafuata wageni vyumbani kuwataka ngono!! Hoteli gani hiyo ?
Hotel ilitakiwa imuombe msamaha huyo binti na kama kuna madai hotel ingemtaka huyo.mlinzi au kampuni yake wamlipe huyo binti baada ya kukiri kwa huyo Mlinzi kuwa ni kweli aliingia chumbani
Issue kuwa mteja hakufunga mlango sio issue kakodi chumba anaamini usalama upo hata akilala wazi yuko kwake anaamini usalama upo hakuna shida.Hakuna sheria inasema ukishachukua chumba cha hoteli lazima mlango ufunge
Kwa Mujibi wa maelezo huyo mlinzi sio Mlinzi wa hoteli hiyoKama hiyo hotel wanaona sawa kwa mfanyakazi kufanyana hapo na mteja, hilo ni tatizo tena kubwa. Yaelekea jamaa alitaka mbunye kinguvu na huyo mdada akamsihi akalete condom kwa ajili ya usalama, ndio dada akafanikiwa kuchoropoka.
Huyo mlinzi mshenzi na hiyo hotel washenzi
Watanzania Ni wavivu Sana kufikiri ndio shida yetu....hapa Kuna namnMimi simuamini huyo Mnaineria hata kidogo,nimesoma maelezo ya pande zote mbili,huyo mnaigeria maelezo yake yana ukakasi sana.Tujiulize kwanini hili suala liamke wakati mama yupo nje kuzindua filamu ya kutangaza utalii ambayo tunategemea iwe game changer? tangu mwaka jana kwanini hili suala liamke sasa? Kuhusu Mlinzi kwenda kufanya mapenzi na mteja what if muda wake wa lindo ulikuwa umeisha? what if alikuwa ameshakabidhi zamu yake?....inawezekana tukawa tunachafuliwa makusudi kabisa na sisi wenyewe Watanzania tukashiriki kwenue uchafuzi wa nchi yetu kwa kutojua,hiyo hotel ya Zanzibar imechafuliwa sana,ratings zimeshuka mno,wanaigeria wameungana kuishusha,sisi tumegawanyika..Ni suala la muda tu hili suala kuchafua Zanzibar yetu na utalii.
Story kaiendeleza leo...Sikubaliani na unyanyasaji wa wanawake ila kwa hii story kuna gaps nyingi haiko balanced.
Ukizingatia hii issue ya sex tourism ipo sana hapo kisiwani.
Meanwhile naona wanaija na wameshaipeleka hii hotel hadi rating ya 1.1 kwenye google reviews..
Watu wanajisahaulisha sana.Znz kuna wadada wa kizungu walimwagiwa tindikali kesi yao sijui ilifikia wapi,hao beach boyz hawana tofauti na wale wa coco beach
You lack exposure....Haka Ni katapeli tu...katoto la miaka 23 kanazuruzura peke yake kanatafuta Nini?wanaigeria wanajulikana kwa mbinu zao
Unayo $88 ya kulipia chumba per one night?watalii wa ndani waanze kumiminika tuwaonyeshe sisi ni doner country.
Katoto ka miaka 23 ndio nini?Zingatia upatanisho wa kisarufi katoto la miaka 23???[emoji25]
Unayo idadi kubwa ya watu wa kuirudisha kwenye 4.5.Ndugu zangu watanzania at least tupitie kwenye page ya hiyo hotel kule Google map Tuipatie review nzuri urudi kwenye hadhi yake ya 4.5 star maana wataoathirika ni vijana wa kitanzania walioajiriwa pale
Kweli kabisaYou lack exposure....
Wacha ujinga,amewezaje kuchukua matukio yote video bila kukosa hata tukio moja?Which Tanzanians are inferior?Did you read, hear, check all the evidence put forward by the lady? Would you have the same opinion had it been your sister, mother, daughter?
This issue has been collaborated by the hotel, police, Russians that she took refuge to.The responsible organs need to come out and give out answers.