Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

"Mbakaji alikuwa ajui Kiingereza ila alisikia neno HIV Kisha wakaelewana akalete condom na mbakaji akakubali kwenda kutafuta condom wakati huo ni Usiku wa manane sijui alikwenda kuichukua wapi. Lakini pia sijui aliwasiliana Kwa lugha Gani na mbakaji akamweleza kuwa nenda katafute condom na hiyo condom mbakaji alihifadhi wapi?"

Hili tu linatosha kumaliza story. Hawa Shemeji zetu wa Kinigeria sijui vipi.

Dada zetu walioolewa huko kina Jide na Vee Money watusaidie kuwareform 😛😛😛
 
Muwe mnaelewa kingereza jpo kdogo. Kasema alipogundua mbakaj hajui kizung akaona aseme hiv ndipo mwamba akaogopa. Kisha akaongeza neno condom hpo mwamba kwa kua mashine ilikua on sport akajua kaambiwa akalete kondom
 
Sikuzote ninapo sikia Nigerian hua naongeza kumakinika kwenye ufahamu wa akiliyangu.
Sijawahi kuwaamini hawa watu (sijui kwanini), Mungu anisamehe sana kwa mawazo haya
 
Unadhani Dunia nzima ni wapumbavu?
 
Mbakaji anaenda kutafuta condom [emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa na mawazo kama yako, hivi kwanini Wanaijeria watu wanapenda kuwaita wanaijer wakati ni watu wawili tofauti? Maana Niger ni taifa linalojitegemea, kuwaita Nigerian, Niger ni kulichafua taifa la Niger hasa yakizungumziwa mabaya ya
Ni nchi mbili tofauti ila tabia zao zinafanana za utapeli
 
Nikisikia wanaijeria nakumbuka michezo ya Olympic iliyo fanyika kama sijakosea mwaka 1999 Huko Atlanta Marekani.

kwa mara ya kwanza wanaijeria wlileta taharuki nchini Marekani kwa Utapeli na wizi wa fedha ktk mabenki ya maeneo hayo.

sio wote lkn baahi yao wana elimu ya juu ya utapeli wa viwango vya juu.
 
Na kwanini baada ya mwaka mmoja.Huyu tapeli alingoja mwaka mmoja kuweka hili tukio public!!!
Why now?Yaani udai kutaka kubakwa upange fidia wewe muathirika ya dola elfu 10??
Smelling a rotten fish.Huu ni utapeli uliounganishwa na blackmail ya kutuharibia soko letu la utalii.
Lisichukuliwe kijuu juu hatua zinazostahiki zichukuliwe kuzuia hao matapeli.
 
Wewe ndo unatetea ujinga. Mlinzi kulala na mteja sehemu ya lindo ndio ujinga wenyewe huo. Siyo maadili ya kazi hayo. Yeyote anayetetea mlinzi kulala na mteja sehemu ya kazi, anatetea ujinga.
 
Wewe ndo unatetea ujinga. Mlinzi kulala na mteja sehemu ya lindo ndio ujinga wenyewe huo. Siyo maadili ya kazi hayo.
Kwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala.

Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana
 
Mlinzi alitakiwa awajibishwe kwa kuvunja maadili. Pili, usalama wa wateja uko mikononi mwa hoteli. Kama security ya wateja inakuwa breached, hotel inakuwajibika. Kusema kuwa mlinzi alitoka kampuni ya ulinzi siyo utetezi. Hotel inawajibika kwa mteja. Na kamouni ya ulinzi inawajibika kwa hotel.
Kwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala.

Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…