kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Elimu dunia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Dunia nzima ni wapumbavu?Sawa ila hii approach ya kusema Zanzibar is safe mitandaoni haitatusaidia kurufisha image nzuri ya utalii Zanzibar.
Kitu cha muhimu mamlaka zifanye kazi zake kwa weledi Justice ipatikane.
Mitandao mnaichukulia poa ila yule mwenye hotel imeshakula kwake....
Mbakaji anaenda kutafuta condom [emoji23][emoji23]Mlinzi anadai kuwa alikaribishwa na Zainab. Lakini hamna ushahidi kama hii ni kweli. Ni kawaida ya mtu anaeshutumiwa na kosa kama hili kumgeuzia kibao mwanamke kwa kusema ndie aliyeanza kumtaka.
Lakini vile vile hoja ya Zainab kuwa jamaa aliyekuwa amekusudia kumbaka alikubali kwenda kutafuta kondomi ili aje ambake kwa usalama na yenyewe haijakaa vizuri.
Tatizo ni kuwa hawa ndugu zetu wa Nigeria wana sifa ya usanii. Binafsi sishangai kuwa Zainab alitaka mshiko ( haijathibitishwa) ili akae kimya. Ni tabia inayoendana na baadhi yao.
Huyu mlinzi anastahili adhabu hata kama alikaribishwa kwa kosa la kutoka kwenye lindo lake na kuanzisha uhusiano na wateja wa hoteli.
Amandla...
Ni nchi mbili tofauti ila tabia zao zinafanana za utapeliNilikuwa na mawazo kama yako, hivi kwanini Wanaijeria watu wanapenda kuwaita wanaijer wakati ni watu wawili tofauti? Maana Niger ni taifa linalojitegemea, kuwaita Nigerian, Niger ni kulichafua taifa la Niger hasa yakizungumziwa mabaya ya
Maajabu ya karne hiiMbakaji anaenda kutafuta condom [emoji23][emoji23]
Unatetea ujinga halafu unanifanya kucheka?nenda huko clubhouse ukasikilize wanaume wenzio wanavyopanga kuua utalii Tanzania,kasikilize wanaume wenzio wanavyosimana na nchi zao sio wewe uko busy kukakandamiza wa kwenu...ambake Nani yule kahaba hata kwa macho unamuona
Huyu Masai inatakiwa atafutwe aisaidie serikali; aseme hata huongo kuwa alimlaPisi inayodaiwa kubakwa ni low quality kama zile za kimboka za buku 2 mbili. Mlinzi ana moyo.
View attachment 2191781
View attachment 2191782
View attachment 2191783
Kwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala.Wewe ndo unatetea ujinga. Mlinzi kulala na mteja sehemu ya lindo ndio ujinga wenyewe huo. Siyo maadili ya kazi hayo.
Kwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala.
Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana