Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000


Hivi watu 10 wakirecommend 1 star unajua unahitaji watu wangapi ili tu hata isogee 3 star.

Comment yako imenisikitisha sana.
so ultegemea n kazi ya sku1?
wakibadlisha jina je?
 
Zanzibar itaendelea kuwepo japo wewe una hamu Sana uchumi wa buluu uanguke kisa huyo scammer wako.
 
Mwisho utokwe misuli ya shingo!!unadhani na wao wanavyosema Tanzania men are stupid ndio wataua utalii Zanzibar?aache ubabaifu wake...#Nigeriansarescammers
 
Utamu apate, raha apate na pesa alipwe. Atupumzishe kwa kweli.
 
Muwe mnaelewa kingereza jpo kdogo. Kasema alipogundua mbakaj hajui kizung akaona aseme hiv ndipo mwamba akaogopa. Kisha akaongeza neno condom hpo mwamba kwa kua mashine ilikua on sport akajua kaambiwa akalete kondom

Hivi mbakaji gani wakati anabaka atasita kubaka kwa kua anembaka amejidai kuwa ana HIV wakati wa purukushani? hivi wewe utaamini? au utafahamu ni njia tu za kujiokoa.
 

Muandishi maoni yako yanajichanganya kama anavyo jichanganya Zainab na wanavyo jichanganya wenye Hotel.
Unapinga maoni ya kwamba suala la uhalifu lipo, kwa sababu bado uchunguzi hauja toa taarifa. Lakini kabla ya uchunguzi unatuaminisha kwamba Zainab ni tapeli? Hv Royal tour ndio kigezo muhimu cha majumuisho ya tuhuma za Zainab? HAPANA!

Tuhuma za Zainab zina uzito mkubwa, uzalendo pekee hapa ni kuihamasisha serikali kuzifanyia uchunguzi wa kina tuhuma hizi na kuja najibu lenye ukweli, kuliko sisi kupiga ramli kwa kigezo cha Royal tour.

Kwa upande mwingine tuhuma za uhalifu zipo katika nchi zote duniani, hasa kwa wageni (watalii) wanakuwa waathirika wakubwa. Mfano ni mimi mwenyewe, mwaka 2018 niliibiwa vitu vyangu hotelini znz. Na mazingira ya wizi yanaonyesha wazi wenye hoteli ndio walihusika na wizi huo. Wakati wakuandikisha maelezo kituo cha polisi palikuwa na wageni wengine wenye malalamiko sawa na ya kwangu. Lakini nilichogundua ni kwamba waharibifu wa kwanza wa uzalendo ni wenye dhamana (polisi) wanachojali ni maslahi binafsi kuliko athari zinazoipata nchi kwa matendo yao. Ni stori ndefu, lakini kwa ufupi ni kwamba sikuwa na jinsi zaidi ya kushirikisha ubalozi wa nchi ninayoishi baada ya kukosa hata barua ya polisi ili bima iweze kunirudishia vile nilivyo poteza kwa kuibiwa. Na hapa ndio nilipo ona uzalendo wa kweli kwa wenzetu kwa maslahi ya nchi zao.

Sina lengo la kumtetea Zainab, polisi ama wenye hoteli. Jibu sahihi litatokana na uchunguzi wa kina kama serikali ilivyo ahidi. Kwa sababu matukio ya uhalifu yapo znz kama ilivyo kwa nchi nyingi duniani. Uzalendo nikuhamasisha serikali ifanye uchunguzi wa haki, na kila mwenye haki apewe haki yake. Kuhusisha Royal tour na tuhuma za Zainab kwa maoni binafsi bila ya uchunguzi wa vyombo husika sio uzalendo.
 

Mkuu nchi yetu ina matatizo mengi sana, NA Polisi kwa kweli wanachangia sana hayo matatizo, Binafsi nimeshuhudia mengi Zanzibar kwenye maeneo ya utalii yanayowakuta watalii kama Ukabaji, uchomoaji, utapeli.

Lakini huyu dada anatia shaka sana, Wa Nigeria ni watu wa matukio, Kesi kama hizo wameshafanya maeneo mengi sana.
 
Ndio ukweli Sasa!unadhani mlinzi sijui maskini ndio yule mmasai alikuwa nae beach alimtongoza yule dada?yule dada Ni Dalilah
Sasa mmasai wa beach anaingiaje kwenye hii story?
 
so ultegemea n kazi ya sku1?
wakibadlisha jina je?
Wakibadilisha jina biashara inaanza upya....

Sasa kama unadhani kubrand hotel mpaka ije ifike hadhi iliyokuwepo ni kazi rahisi shauri yako.
 
Mwisho utokwe misuli ya shingo!!unadhani na wao wanavyosema Tanzania men are stupid ndio wataua utalii Zanzibar?aache ubabaifu wake...#Nigeriansarescammers
Kumuattack victim wont solve the problem.

Hii imekuwa tabia yetu wabongo wala siyo jambo la kwanza.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…