Zaman tulikua na viongozi na walienda chuoni kusomea sifa za uongozi.Sasa tuna watawala tu, ukimuuliza Samia na Majaliwa kama wanauelewa na nafasi walizopo watakwambia ni watawala.Namtetea huyu Mzee, hicho alichosema ndicho alikuwa anafanya akiwa PM, na wengi walimpenda sana kwa approach yake hiyo, narudiakusema hapa
Namkumbuka Warioba, alifanya hivyo mwaka 1988 majira ya joto na mvua alipotembelea wilaya ya Njombe, alikaa jukwaani akawaita wananchi wote wenye kero wajitokeze awasikilize, asilimia kubwa ya kero alizimalizia hapohapo, chache aliondoka nazo kwenda kwa Rais Mwinyi Senio
Kwani nimekubana ili nikupishe?Ungemsikiliza Mzee Warioba ungejua kuwa wewe unaongea utumbo tu hapo. Yaani Wananchi wapo, badala kuwezesha uhuru ili wakuambie yao wao wenyewe, wewe unaona bora wapigwe plaster midomoni ili uwasikilize wambea uliowatuma. Incidentally, ni wale wambea wanaojua wewe unapenda kuambiwa nini?! Tupishe huko.
Bi, Chokochoko aione hii, yaani anatubania na sauti kabisa. Anajiona bonge la mtawala, badala ya kuwa kiongozi wa wananchi.“Wananchi ndio walitaka na wanataka katiba mpya
Mtu anayesema hatuna haja ya katiba basi huyo yupo mbali na wananchi”... Jaji J. Warioba
Ktk kipindi cha DK 45 ITV sasa
Wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, niambie Rais gani amesikiliza matatizo ya wananchi kama Magufuli? Je Kikwete ulimuona amesikiliza matatizo? Samia nae kafikia hatua ya kuwaambia watu wasibebe mabango kwenye ziara zake? Ni lazima uwe na akili kuliko kujikita kumtukana Magufuli kana kwamba wewe utaenda mbinguni na kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa mtu mbaya sana lakini uko hapa kujihesabia haki na kuhukumu wezako.Unabisha nini wewe leo hii unataka kijifanya ukumbuki matusi ya KICHAA kwa wananchi.
Mwendawazimu alikua ataki kusikia kero za wananchi, na wateule wakawa wanafanya yale yaliompendeza tu, Ili kulinda teuzi zao.
acha kutuletea legacy ya Mwendawazimu.
Mzee Warioba yupo sahii kabisa.
Wananchi wawe huru kutoa kero zao, hao wapambe wa Rais au PM hawawezi kusaidia kitu. Tena wapambe wanaweza kukupoteza wao kwao Swali gumu wanaona ni UCHADEMA
Uongozi ni talent, wamesalia viongozi wachache sana hivi sasa, the rest ni watawala as you say, na utawala normally ni wababe, ubabe hautumii akili, hauangalii the other side of a coinSasa tuna watawala tu, ukimuuliza Samia na Majaliwa kama wanauelewa na nafasi walizopo watakwambia ni watawala.
Mwendawazimu hawezi kua kiongonzi,Wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, niambie Rais gani amesikiliza matatizo ya wananchi kama Magufuli? Je Kikwete ulimuona amesikiliza matatizo? Samia nae kafikia hatua ya kuwaambia watu wasibebe mabango kwenye ziara zake? Ni lazima uwe na akili kuliko kujikita kumtukana Magufuli kana kwamba wewe utaenda mbinguni na kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa mtu mbaya sana lakini uko hapa kujihesabia haki na kuhukumu wezako.
Warioba alikuwa anafanyia kazi mpaka kero alizokuwa anazisoma kwenye magazeti, hususan kwenye "Barua za Wasomaji".Namtetea huyu Mzee, hicho alichosema ndicho alikuwa anafanya akiwa PM, na wengi walimpenda sana kwa approach yake hiyo, narudiakusema hapa
Namkumbuka Warioba, alifanya hivyo mwaka 1988 majira ya joto na mvua alipotembelea wilaya ya Njombe, alikaa jukwaani akawaita wananchi wote wenye kero wajitokeze awasikilize, asilimia kubwa ya kero alizimalizia hapohapo, chache aliondoka nazo kwenda kwa Rais Mwinyi Senio
Wewe endele kuamini unachokiamini mkuu.Mwendawazimu hawezi kua kiongonzi,
Alikua mshenzi , katili , mtesaji na muuaji.
Alipenda Propaganda na kutukana waliomwambia kero zao.
Mifano ni mingi mno. Hakua kiongozi anaezungumziwa hapa. Alikua mtawala.
kama umeambukizwa uwandawazimu huwezi kuelewa chochote , utatetea ujinga tu.
Wewe endele kuamini unachokiamini mkuu.Mwendawazimu hawezi kua kiongonzi,
Alikua mshenzi , katili , mtesaji na muuaji.
Alipenda Propaganda na kutukana waliomwambia kero zao.
Mifano ni mingi mno. Hakua kiongozi anaezungumziwa hapa. Alikua mtawala.
kama umeambukizwa uwandawazimu huwezi kuelewa chochote , utatetea ujinga tu.
Shemela, kuna Milembe ujuwe...!!Tulishawahi kuwa na kiongozi asiyependa kusikiliza,alipenda kusikilizwa tu na maswali kwake yalikua ni mwiko.
Lakini alitandikwa awamu ya NNE na uyo mtoto hakufanywa chochote,nashangaa kelele zimekuja kuibuka awamu ya tano.Poor thinking and resoaningHv huyu c ndiyo alitandikwa vibao na mtoto wa kwanza wa baba
Hayo anayaongea saivi kwakua hana cha kupoteza ni sawa na majuto yaliyo katika kitabu cha hayalt mkapa.Huyu babu nilimsikiliza jana, asee babu ni hazina kubwa sn kwa taifa siyo muoga anaongea point sn.
What about watoto wake? Sumaye, Lowassa, Mwinyi wanachakupoteza?Hayo anayaongea saivi kwakua hana cha kupoteza ni sawa na majuto yaliyo katika kitabu cha hayalt mkapa.
Sijaelewa point yako ni ipiWhat about watoto wake? Sumaye, Lowassa, Mwinyi wanachakupoteza?
Yeye kama hana cha kupoteza na watoto wake hawana cha kupoteza? hao ambao hawaongei wana nini cha kupoteza?Sijaelewa point yako ni ipi
ASA watoto wao unawasikia wanaongea nini,pia wao tayari wako kwenye system hivyo mfumo hauwezi kuwafanya chochote ni untouble sio kama Mimi.Yeye kama hana cha kupoteza na watoto wake hawana cha kupoteza? hao ambao hawaongei wana nini cha kupoteza?
Watoto wa Sumaye, Lowassa, Mwinyi hawapo kwenye system? mbona wao hawaongei?ASA watoto wao unawasikia wanaongea nini,pia wao tayari wako kwenye system hivyo mfumo hauwezi kuwafanya chochote ni untouble sio kama Mimi.
Ndo nakwambia hata yeye anaongea hayo kwakua tayari hana cha kupoteza,sina imani alipokua waziri mkuu alikua anayaishi hayo anayoyaongea Leo.Au alipokua jaji mkuu alikua akitenda haki kwenye hukumu zake.Watoto wa Sumaye, Lowassa, Mwinyi hawapo kwenye system? mbona wao hawaongei?