Warioba: Siyo wakulima pekee wenye matatizo bali hata wafugaji na machinga nalo hilo ni janga!

Warioba: Siyo wakulima pekee wenye matatizo bali hata wafugaji na machinga nalo hilo ni janga!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya hovyo.

Vilevile mzee Warioba ameitaka Serikali kushughulikia tatizo la Wafugaji na Machinga kwa sababu makundi hayo pia yanapitia changamoto lukuki!

Chanzo: Azam TV
 
Mwambieni uyo mzee alime nanasi na mihogo vinalipa

Hopeless kabisa
 
Mwambieni uyo mzee alime nanasi na mihogo vinalipa

Hopeless kabisa
Nchi hii ina waananchi wasiojielewa kabisa,japo bashiru naye ndio wale wale tu lakini ana hoja cha ajabu baada ya kutoa hayo maoni yake kuwasemea wakulima na ni kitu kilicho wazi kuwa kuna shida.Kuna chama cha wakulima huko Ntwara wamekuja juu mno kuwa anatumika wao hawana shida kabisa na awamu ya tano!!cha ajabu ni mwezi huu huu walikuwa wanagomea kuuza korosho kwenye mnada wakisema kuwa bei ni ndogo.!!sasa hawa una watetea vipi?!!Kutetea jitu lisilojitambua ni ngumu sana
 
Nchi hii ina waananchi wasiojielewa kabisa,japo bashiru naye ndio wale wale tu lakini ana hoja cha ajabu baada ya kutoa hayo maoni yake kuwasemea wakulima na ni kitu kilicho wazi kuwa kuna shida.Kuna chama cha wakulima huko Ntwara wamekuja juu mno kuwa anatumika wao hawana shida kabisa na awamu ya tano!!cha ajabu ni mwezi huu huu walikuwa wanagomea kuuza korosho kwenye mnada wakisema kuwa bei ni ndogo.!!sasa hawa una watetea vipi?!!Kutetea jitu lisilojitambua ni ngumu sana
Anaejitambua ndio ana mwandiko Kama wako??

Empty set
 
Chogolo amesema ccm ni chama kikubwa ila hakumbuki kwamba ukubwa wa ccm unaishia kwawajumbe wanaingia madarakani kwa njia ya rushwa.

Wajumbe hao ukikutana nao mitaani ni njaa kali, akili ndogo, omba omba, rushwa, majungu na hawana akili ya pili kimaisha.

Mfano musukuma na Lusinde wananoa mdogobna mtu mwenye akili kubwa kama Bashiru Ally Kakurwa huu ni usiku na mchana.

Tunakoelekea sio kila mtanzania atazibwa mdomo na ccm , hali sio shwari hata kidogo.

Hawa ndio ccm kinachoitwa chama kikubwa na hao ndio wajumbe 👇👇👇
 

Attachments

  • IMG_6511.MP4
    8.1 MB
Mwacheni Samia aendelee kukenua kenua meno akiwasiliza kina kibajaji!

Hapa nchini kundi kama la wamachinga ni kwenda nalo taratibu, ajira hamna, wape uhuru wafanye vibiashara vyao kwa wepesi katika humo wapo watakao jikwamua na kutoka kwenye kundi la umachinga!

Tumwache awndelee kuwakumbutia mabwanyenye kikinuka atajuta
 
Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya hovyo.

Vilevile mzee Warioba ameitaka Serikali kushughulikia tatizo la Wafugaji na Machinga kwa sababu makundi hayo pia yanapitia changamoto lukuki!

Chanzo: Azam TV
Wamshukie kama mwewe na huyu pia
 
Nawaona sukuma gang comment #1 mpaka #14 mkijifariji😀😀😀
 
Mwacheni Samia aendelee kukenua kenua meno akiwasiliza kina kibajaji!

Hapa nchini kundi kama la wamachinga ni kwenda nalo taratibu, ajira hamna, wape uhuru wafanye vibiashara vyao kwa wepesi katika humo wapo watakao jikwamua na kutoka kwenye kundi la umachinga!

Tumwache awndelee kuwakumbutia mabwanyenye kikinuka atajuta
NEC ipo chini yake kwani kuna tatizo?
 
Sijaona kosa alilofanya Jaji, kuishauri Serikali ni jambo jemba kabisa, wanaomshambulia basi wana matatizo makubwa ya kiutendaji.

Serikali ni ya wananchi, na wananchi ndiyo wanaoikosoa - sasa tatizo lipo wapi ndugu zangu.

Jaji ameupiga mwingi ..
 
Mwambieni uyo mzee alime nanasi na mihogo vinalipa

Hopeless kabisa
Uhopeless wake ni nini?.Au nyie ndo wajinga mliokaa uko serikalini hamtaki watu waseme maujinga yaliyopo nchi hii.huu sio muda wakuimba mapambio kwa watawala yasiyo na uhalisia.
 
Back
Top Bottom