Warioba: Siyo wakulima pekee wenye matatizo bali hata wafugaji na machinga nalo hilo ni janga!

Namkubali sana Mzee Kigogo Warioba ,hana Mbambamba.
 
Wamachinga ni watu wa aina gani katika sekta ya uchumi?!
 
Anaejitambua ndio ana mwandiko Kama wako??

Empty set
Praise power team ndio mmeifikisha hapa nchi yaani bila uchawa kwa mwenyekiti wenu kula kwako ni tabu'UVCCM wa simiyu wale wameonyesha tu kuwa ndicho kinachoendelea kwenye chaguzi zenu zote.halafu uniambie kuna jitu lenye uchungu na nchi kutatua matatizo ya wajinga!!JK alishawaambia hoja hujibiwa kw hoja na sio vitisho.Yaani ujinga wa wadanganyika ndio mtaji wenu hilo ndilo mshukuru mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…