Mapunduzi ya kiuchumi yakipatikana kwa kila mmoja wetu hakuna atakaye sema habari za kero. Serikali itazame madeni kwanza kwa watumishi wake ndipo tuone uwezekano wa kutanuwa mamlaka. Mawaziri wasiwe wabunge pesa za Mawaziri za wabunge zitatoka wapi. Au ndo kukamuliwa kodi hadi tone la mwisho. Haya mambo hayatakiwi mas' hara wala kujaribu ni kujadili sana kichwani kwa kituo