Warning: Epuka kuingia kwenye mahusiano yeyote kwa nia ya kupata ndoa utakuja kuumia

Warning: Epuka kuingia kwenye mahusiano yeyote kwa nia ya kupata ndoa utakuja kuumia

Njaa mbaya sana[emoji3525]
Screenshot_20210624-205142.jpg
 
Mtoa bado wee ni mtoto wa mama,
Inashangaza kuona mpaka umri huo bado unaishi kwenu.

Habar za kuingia kwenye ndoa waachie wanaojitegemea.

Haustahili na
Wala Huna vigezo vya kuishi na binti wa mtu wala kuitwa mme wa mtu.
Screenshot_20210624-205345.jpg
 
Wanajf
Tunaweza kujionea tuna mtoa mada wa Namna gani.

1. Amempa mimba binti wa watu, afu hana tena mpango nae.

2. Anasema hataki wala hana mpango wa kuoa Single mother.

Anasahau hapo kwenye 1, kuna mwingine binti wa watu keshamzalisha tayar afu kamtelekeza.

Mtoa mada ni mchafuzi na Hafai ktk jamii yoyote iliyostaarabika[emoji3525]View attachment 1828862
2021-06-24-21-22-43.jpg
 
Wanajf
Tunaweza kujionea tuna mtoa mada wa Namna gani.

1. Amempa mimba binti wa watu, afu hana tena mpango nae.KAMTELEKEZA

2. Kaingia kwenye mahusiano na mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na KUTELEKEZWA.
Anamkula tu burebure, afu Anasema hataki wala hana mpango wa kuoa Single mother.

Anasahau hapo kwenye 1 yeye mwenyewe keshazalisha na KATELEKEZA binti wa watu tayar.

Mtoa mada ni mchafuzi na Hafai ktk jamii yoyote iliyostaarabika[emoji3525]
2021-06-24-21-21-38.jpg
2021-06-24-21-22-43.jpg
 
Code red : permission to engage show no mercy take shot I repeat show no mercy

Screenshot_20210624-215614_Gallery.jpg
 
Wanawake wanaingia kwenye mahusiano ili baadae iwe ndoa Vs Wanaume wanaingia kwenye mahusiano kwanza ili kupata mbunye.

Sasa hapo ndiko kwenye balaa.
 
Back
Top Bottom