Wanajf
Tunaweza kujionea tuna mtoa mada wa Namna gani.
1. Amempa mimba binti wa watu, afu hana tena mpango nae.KAMTELEKEZA
2. Kaingia kwenye mahusiano na mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na KUTELEKEZWA.
Anamkula tu burebure, afu Anasema hataki wala hana mpango wa kuoa Single mother.
Anasahau hapo kwenye 1 yeye mwenyewe keshazalisha na KATELEKEZA binti wa watu tayar.
Mtoa mada ni mchafuzi na Hafai ktk jamii yoyote iliyostaarabika[emoji3525]