Warumi apata Danga jf

Warumi apata Danga jf

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia🤣🤣, nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimba🤣🤣.

Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi 🤣
IMG_6514.JPG
 
🎶📯📯🎶🎶🎶🎙🎙🎙😍😘
 
Warumi Yupo Juu Sana Kama Pierre Liquid 😂😍😘
 
Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia[emoji1787][emoji1787], nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimba[emoji1787][emoji1787].

Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi [emoji1787]View attachment 1085676
Anataka mpambanishe vifua
 
Iyo pm imenidhalilisha Sana nikiwa Kama mwanamume. By the way inaonekana umekuwa excited Sana kutpngozwa pm maana ilikuwa Haina haja ya huko kuyaleta huku. Hivi wanawake wote wa JF wangeleta ya pm hadharani inhekuwaje?
 
Back
Top Bottom