Anataka mpambanishe vifuaJamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia[emoji1787][emoji1787], nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimba[emoji1787][emoji1787].
Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi [emoji1787]View attachment 1085676
Upo JuuKwan umeona Jina ? Usinichukulie mie sina akili
Mmefikia wapi kwenye mtongozo huo?Kwan umeona Jina ? Usinichukulie mie sina akili
Wanaonekana Tayari Wapo Stage YaMmefikia wapi kwenye mtongozo huo?
Mkuu ni wewe umemtongoza warumi?[emoji23][emoji23]Pm's ziwakuwaje exposed?..kila aliyetongozwa humu JF akiweka screenshot patatosha kweli humu