Warumi apata Danga jf

Warumi apata Danga jf

Pm's ziwakuwaje exposed?..kila aliyetongozwa humu JF akiweka screenshot patatosha kweli humu
Malaya katongozwa.
Maskini akipata mat.a.k.o hulia mbwata.
Kutongoza ovyo ovyo tutakuja kutongoza hadi vicha kwa kweli.
 
Umejuaje warumi ni mwanamke?

Mtakuja kutongoza vidume wenzenu humu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
We acha tu ndio Mana sijawahi kutongoza humu. Kwanza namtongozaje mtu ambae sijawahi kumuona. Yaani unaimgine mtu alivo kuptia avatar[emoji39]
 
Malaya katongozwa.
Maskini akipata mat.a.k.o hulia mbwata.
Kutongoza ovyo ovyo tutakuja kutongoza hadi vicha kwa kweli.

Wanazengo katika siku mliyonipa raha , Leo mmejua kunichekesha na Mimi , yan mbavu sina 🤣🤣🤣🤣🤣, kwa hyo jaman Mimi ni kichaa🤣🤣
 
Wanazengo katika siku mliyonipa raha , Leo mmejua kunichekesha na Mimi , yan mbavu sina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kwa hyo jaman Mimi ni kichaa[emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha wewe ni kichaa mchambaji team Zari.
 
Huyo jamaa bila shaka ni new comer ..warumi sio mwanamke ni mwanaume ila anapenda udaku wa mastar kiasi cha kwenda hata kulala kwenye misiba yao ila apate udaku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi dinazarde yuko wapi
 
Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia🤣🤣, nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa mimba🤣🤣.

Haya mwanazengo ahsante kwa kunipenda, Ila najua tu we unapenda umbea wangu wala hunipendi mimi 🤣View attachment 1085676
Warumi mtoto mzur njoo pm
 
Back
Top Bottom