Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Pole bwana mdogo,ila jinsia ya marehemu ilikuwa na utata sana inasemekana alikuwa ni dume lakini yeye anajirefer kama mwanamke,na hata uandishi wake watu tulikuwa tunajua ni wa kike
Mmmmmmhmn aiseee. Why sasa alikuwa anafanya hivyo?!
 
Hapo unajaribu kutetea upuuzi gani?! Yaani mtu ni mwanaume halafu ujitambulishe mwanamke kwa mantiki na malengo gani labda...?!

Nadhani kuna muda tujifunze kusimamia misingi, sio kuongea lolote linalotujia akilini wakati huo ili kufurahisha watu baadhi.
 
Punguza hasira sio mimi niliyekusababishia matatizo uliyonayo.
 
In my view aliepo gar atupe mrejesho yawezekana tumepigwa changalamacho hapo ili tuchangie rambirambi mjinga mmoja akapige serengeti lite ya baridi maana naona marehemu mwenyewe alikuwa mswahili mswahili anaweza hata kutuigizia humu AKAJA NA IG mpya
Kwahiyo kuna kikundi kinaandaa sinema afu kinakula rambirambi humu
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] binamu nimeumia sana tena mno, nlishangaa ulikua kimya sana, af no yako kila nikipiga ilikua haipokelew, kumbe ulikua mgonjwa had umauti.

Rest easy cuzoooooh, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kuna umbea wa birthday ya bob risky, kuna msiba wa baba yake Tiwa savage, yaani msiba wanatunzana madolari hatariiiii na live band msiba huo ni zaidi ya sherehe ya Krish wa Uwoya.
Tupo doro hatariiiii hapo ndo tunapokukumbuka binamu warumi
Hakika kabisaaah yaan shangazi, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nani kakuambia hatufanyi kazi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umeachiwa kwenye kifungo sasa yale mazuri uliyojifunza nje huko ndo uje nayo humu, vinginenyo utapigwa ban ya maisha, ni hayo tu.
 
Naona umeachiwa kwenye kifungo sasa yale mazuri uliyojifunza nje huko ndo uje nayo humu, vinginenyo utapigwa ban ya maisha, ni hayo tu.
Kwani ban ya maisha n sh ngapi? Au kufungua I'd mpya ni bei gan? Nipishe huko nawee lol.
 
Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…