Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Kwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yan umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina ....

Secondly,I’m loving this new couple ya mjini , Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu

Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei

Amber lulu nae ana mimba ya p-funk majan
Aisee
Nakutafutia certificate ya umbea
 
Wadada wa mjini wameamua kuzaa labda watatulia kidogo! Ila ile baby shower ya Amberlulu mbona amechangamka sana anakata mauno hadi watu wanasema hivo viuno mwishowe mtoto achomoke atoke huko tumboni kabla[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3] ila yule mwehu kwa kweli, eti alipoambiwa kuwa majan kamnunulia crown mpya, akavuta [emoji441] na kuropoka kwa sauti, "hii mimba nimepewa na roho mtakatifu, wala simjui huyo mtu wenu, na tusubiri mtoto akizaliwa tuone" nilicheka nusu nizimie.

Kisanga alipopita mbele chizi mwenzie Giggy, yaan mambo waliyo yafanya khaaaah hataree tupu lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3] ila yule mwehu kwa kweli, eti alipoambiwa kuwa majan kamnunulia crown mpya, akavuta [emoji441] na kuropoka kwa sauti, "hii mimba nimepewa na roho mtakatifu, wala simjui huyo mtu wenu, na tusubiri mtoto akizaliwa tuone" nilicheka nusu nizimie.

Kisanga alipopita mbele chizi mwenzie Giggy, yaan mambo waliyo yafanya khaaaah hataree tupu lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani eti ndiyo mastar wetu hao akii😀😀
 
Rafiki unapenda umbea kuliko BMW![emoji1][emoji1][emoji1]
Puliiiiiiiiz usifananishe BMW na chochote rafiki? Umbea kwangu ni shibeeh na sunnah, ila kwa BMW hapanaah, nipo tayar ku boost [emoji196] ili unihonge hiyo ndinga yako. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Miss u rafiki kipendhii.
 
Yaani eti ndiyo mastar wetu hao akii[emoji3][emoji3]
Yaan nilishuhudia lile baby shower mwanzo mwisho, mweeeh tumbo kubwa ila matashititi yake ni motroooooooh lol.
Heka heka take huyo mama kijacho, mweeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesahau ndoa ya lulu imemchoma wema sepetu mbaka hana raha mitandaoni wanamsema anazeeka huku mtoto mdogo lulu kaolewa, ndoa ya lulu kifupi imechoma wengi sana mastaa coz wamezoea vindoa vya kiislam cheap, ndoa za kikristo ni balaa ndio maana fanya utafiti nakupa hiyo ikifungwa ndoa kati ya kiislam au ya kikristo utaona ipi inazungumziwa sana na wasanii wawili wakiwa wote wakristo wanataka kufunga ndoa utaona mapovu yanawatoka sana watu kuliko wakiislam nakupa hiyo fanya utafiti utagundua
 
warumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Unajuaje??wale wanapesa hawataki shobo za watu unaambiwa sherehe ya kwanza ilifanyka na ya pili itafuata kama hujui
 
Umesahau ndoa ya lulu imemchoma wema sepetu mbaka hana raha mitandaoni wanamsema anazeeka huku mtoto mdogo lulu kaolewa, ndoa ya lulu kifupi imechoma wengi sana mastaa coz wamezoea vindoa vya kiislam cheap, ndoa za kikristo ni balaa ndio maana fanya utafiti nakupa hiyo ikifungwa ndoa kati ya kiislam au ya kikristo utaona ipi inazungumziwa sana na wasanii wawili wakiwa wote wakristo wanataka kufunga ndoa utaona mapovu yanawatoka sana watu kuliko wakiislam nakupa hiyo fanya utafiti utagundua

Sijui hawa akina wolper , aunt Ezekiel , wema na wengine sijui wanafikiriag nini ku date na vitoto na kuwatunza na wao wanajifanya eti wameolewa mxieew

Inshort lulu kawapiga shoti moja matata sana, sura zao hawana pa kuziweka, m mama mijitu mizima akili hawana wala elimu hawana kazi umalaya tu mxieew

Na wasipobadilika hakuna mwanaume wa maana watapata, wataishia kuhonga vijana had wakome na wakifulia wanakimbiwa

Yan hii misanii ya bongo movie huwa inanitia hasira sana Yan
 
[emoji3][emoji3][emoji3] ila yule mwehu kwa kweli, eti alipoambiwa kuwa majan kamnunulia crown mpya, akavuta [emoji441] na kuropoka kwa sauti, "hii mimba nimepewa na roho mtakatifu, wala simjui huyo mtu wenu, na tusubiri mtoto akizaliwa tuone" nilicheka nusu nizimie.

Kisanga alipopita mbele chizi mwenzie Giggy, yaan mambo waliyo yafanya khaaaah hataree tupu lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hvi hyo mimba ni ya nani hasa maana kampost baba tofauti, nimpongeze kuamua kuzaa
 
Puliiiiiiiiz usifananishe BMW na chochote rafiki? Umbea kwangu ni shibeeh na sunnah, ila kwa BMW hapanaah, nipo tayar ku boost [emoji196] ili unihonge hiyo ndinga yako. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Miss u rafiki kipendhii.
🤣🤣🤣
 
Hakufai naskia ni gwiji
huyo ndo ndo poa kabla ya kumpelekea moto kwanza unahakikisha mitaa na vitongoji vya Mpalange umepiga deki na kunyonya vilivyo majitaka yote mitaloni ndo shughuli inaanza
 
Huyu akienda labour atafyatua chap chap, ila I think atachagua operation tu huyo maana huko kwa mpalange loh
Hivi mnajuaje kama wanafika kwa mpalange ? Zimekuwa ni habari za kawaida sana , kuanzia mtaani, na mavyouni kama jambo ambalo ni halali tu
 
Back
Top Bottom