Mzee mwenyewe kama anajihami,kakaa kama Elton John vilePamoja na yote, kitendo cha mwanaume kukubali mwanaume mwezio kukuingiza …. Naomba niishie hapo maana hata katika interview ya baba yake Banana Zoro - Zahiri alisema kuwa angaliua kama kijana wake angalifanywa Shoga
Nadhan ungemtia moyo sana kama hizi sifa ungempatia wakati yupo hai mwenyewe akaziona.Kila mtu unique na Warumi alikua wa aina yake.
1.Uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
2.Msimamo katika alichokiamini
3.Alikua na uwezo mkubwa wa kuona ubora kwenye watu/vitu bora
4.Pia alikua na uwezo wa kuona ubora kwenye watu/vitu visivyo bora
5.Alikua na uwezo mkubwa wa ushawishi
6.Alikua msema ukweli, hata ule ukweli unaouma
7.Alikua hodari wa kulumbana kwa hoja zenye mashiko
8.Kila neno aliloliongea hata liwe na ukakasi lilikua na thamani kwenye content yake
9.Alikua mtu wa watu, nna uhakika sio hapa jukwaani tuu ila hata nje ya jukwaa
10.Naweza kusema alikua na akili nyingi sana, akili za kizaliwa
Warumi alikua mmoja kati ya members mahiri sana kwangu hapa jf
Ushari kwako ni tabia,kaa mbali shetani...ur too cheap.Una uhakika gani kama sikuwahi kumpatia
Au ndio uzushi kwako ni tabia🙄🙄
"Eternal" siyo "Internal"Reast Im Internal Peace Warumi, nilishawahi kukwaza natumai ulimisamehe, Mungu no wetu tu nyuma yako
Naloli MwaisaEkujonga jummo jummo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakuzidi wewe. Halafu mwanaume unashindanaje na mwanamke ke, au umekataliwa sasa ndio hasira za kukosa bwana[emoji28][emoji28]
Nikifa na mie jee?? [emoji24][emoji24][emoji24]Binamu warumi aliondoka, tumebaki na binamu cocastic japo ana maringo kibao
Nikifa na mie jee?? [emoji24][emoji24][emoji24]
Mtabaki na nani??
Usinambiee, [emoji23][emoji23][emoji23]Tutakufuata tu hukohuko