Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

Tutapumzika tuu kama tumemaliza kazi tuliyotumwa. Tuombeane mwisho mwema orturoo
Sawa mama D ,nakuombea kifo chema na wana jf wote wakati ukifika Tupumzike kwa amani,nitakukumbusha tukikutana mbinguni
 
Tutapumzika tuu kama tumemaliza kazi tuliyotumwa. Tuombeane mwisho mwema orturoo
Wakati mwingine hata hatumalizi missions tulizo tumwa, let alone ours , the world is not fair kwa kweli
 
Tutapumzika tuu kama tumemaliza kazi tuliyotumwa. Tuombeane mwisho mwema orturoo
Tumalize kazi tusimalize, wakati ukifika tutakwenda tu, kisha huko ndio tutajajiwa kwa kazi tuliyotumwa kama tumeimaliza ndani ya muda tuliopewa au lah..
Mathalani.. Ofisi imekupa kazi fulani kwa muda wa miaka miwili, basi miaka miwili ikikata ww unarudi makao makuu, kisha itategemea na ufanisi wako katika kazi uliyotumwa, aidha uule ama ile kwako

Ingekuwa tunaondoka kwa kumaliza kazi, basi soote ni mwendo wa kujichelewesha tu maana kifo kinatisha mpendwa.. [emoji23] Nacheka kama mazuri vile
 
NA SISI TUPUMZIKE KWA AMANI KWA WAKATI UJAO.....RIP FOR ALL OF US
Tujiandae kwa kufanya mema. Lazima tupendane, tuheshimiane, tuthamiane, tuwasaidie mayatima, tuwajali wajane, chuki, roho ya korosho tupa kule, unacho na una uwezo wa kusaidia saidia, usisaidie ukajigamba..
 
Sawa mama D ,nakuombea kifo chema na wana jf wote wakati ukifika Tupumzike kwa amani,nitakukumbusha tukikutana mbinguni

Mungu atujalie tufike huko
 
Wakati mwingine hata hatumalizi missions tulizo tumwa, let alone ours , the world is not fair kwa kweli

Na wengi hatujui hata tulichotumwa, na wale tunaojua tulichotumwa ya dunia yanatuzongazonga kweli.... kila siku tunasema tutafanya hadi tunatwaliwa bila kukamilisha.

Mungu atusaidie kumpa yeye kwanza nafasi ili mengine yote yafanyike katika yeye
 
Tumalize kazi tusimalize, wakati ukifika tutakwenda tu, kisha huko ndio tutajajiwa kwa kazi tuliyotumwa kama tumeimaliza ndani ya muda tuliopewa au lah..
Mathalani.. Ofisi imekupa kazi fulani kwa muda wa miaka miwili, basi miaka miwili ikikata ww unarudi makao makuu, kisha itategemea na ufanisi wako katika kazi uliyotumwa, aidha uule ama ile kwako

Ingekuwa tunaondoka kwa kumaliza kazi, basi soote ni mwendo wa kujichelewesha tu maana kifo kinatisha mpendwa.. [emoji23] Nacheka kama mazuri vile

Kila mwanadamu aliyepata kibali cha kuzaliwa duiniani na kuishi ametumwa kwa mission maalum ya Mungu.

Kila kazi tunayofanya tunatakiwa kuifanya kwa sifa na utukufu wa Mungu. Tukitumia akili na hekima tuliyojaliwa na Mungu katika kukamilisha yale aliyotuagiza kuyakamilisha
 
Kadiri umri unavyosonga ndo nazidi kukitafakari kifo!! Na honesty sipati majibu ya kutosha, Kifo kisikie tu kwa jirani kinauma sana kwa mtu wa karibu.
imefikia mahala hadi naona hakukuwa na maana kabisa ya kuzaliwa na kuja duniani!
Kuzaliwa na kufa ni moja ya mission mbovu kabisa kuwahi kutokea duniani . It had to be either on , or off , not both.

Rip warumi !! , mbele yetu, nyuma yako

Hahah!!

Unataka usife halafu kitokee nini?
 
Kila mwanadamu aliyepata kibali cha kuzaliwa duiniani na kuishi ametumwa kwa mission maalum ya Mungu.

Kila kazi tunayofanya tunatakiwa kuifanya kwa sifa na utukufu wa Mungu. Tukitumia akili na hekima tuliyojaliwa na Mungu katika kukamilisha yale aliyotuagiza kuyakamilisha
Ohooooo, Mama D mbona kama unatuaga vile? [emoji2297][emoji2297]
 
Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya

Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐

Kusema ukweli kuna threads zako ambazo nimewahi kuwapa mabinti machachari wanaochepukia, mabinti wanaodhani kila siku wataendelea kuwa kama walivyo zikawabadilisha sanaaaaa

Endelea kupumzika kwa amani binamu🕊🙏
Kweli hata uchambuzi wa Paula ungetolewa r.i.p him.

Lakini kumbuka hizo sifa hazimufikii kwa nini msiwe mnatoa sifa mtu akiwa hai?

mama D hebu kama kuna mtu mwingine anakufurahisha humu mpe sifa akiwa hai ili azipokee
 
Kila mtu ataondoka Getang'wan hata usipoaga utaondoka tuu

Usiseme mimi nakuaga sababu wewe mwenyewe unaweza kukuta huna hata dakika5 kwenye uhai wako uliobakia hapo ulipo


Hapo sina ubishi kabisa Mama D. Ila ni kuwa watu tunajisahau sana na wala hatufanyi maandalizi ya kufika mwisho mwema kwa kuwa hatujui siku wala saa.
 
Back
Top Bottom